Jeshi dhidi ya Waislamu wa Kenya

Jeshi dhidi ya Waislamu wa Kenya

Kwani huyo Mungu ni dhaifu mpaka ahitaji watu wampiganie? Hapo ndipo dini naikataa- atheist

Hiyari yako na kilichokusudiwa ni kwa wale wanaoamini. Iko siku utaikubali dini lakini itakuwa umechelewa.
 
waislamu wanataka nini? Mombasa republic? Hizi dini tulizoletewa na waarabu, wazungu!

Nahisi ungetumia busara ya kujijibu swali hilo. Kwani walikuwa wapi si msikitini au makao ya chama cha siasa?
 
Hata hivyo na wao walifanikiwa kumjeruhi mwanajeshi mmoja.
551120_262868150542678_90959257_n.jpg
Umefurahi eeh!!!
 
Mungu sio kilema hadi apiganiwe kwa bunduki na mabomu,anaweza akaiteketeza dunia kwa sekunde,wampiganiae wanajisumbua wautumie muda wao kuomba rehema na wamwabudu,mtume anasikitishwa sana na mauaji ya akina mama na watoto wasiyo na hatia.

Kakwambia nani mtumee anasikitika naye ashakufa miaka kibao?
 
Nahisi ungetumia busara ya kujijibu swali hilo. Kwani walikuwa wapi si msikitini au makao ya chama cha siasa?

Watu wanaweza kutumia misikiti, makanisa kama kichaka cha kudai wanayoyataka. haishangazi kuwa walikuwa msikitini!
 
Hiyari yako na kilichokusudiwa ni kwa wale wanaoamini. Iko siku utaikubali dini lakini itakuwa umechelewa.

Kama Mungu yupo atanikubali sana maana nahoji mambo ambayo hayana scientific proof! Sio vibaya kuhoji ndio maana (kama Mungu yupo) amekupa akili! Kudadisi mambo jamani ni kubaya?
 
Watu wanaweza kutumia misikiti, makanisa kama kichaka cha kudai wanayoyataka. haishangazi kuwa walikuwa msikitini!

Naam kama mlivyo wazuri wa kubuni mradi tu mpate sababu ya kufanya maovu ya mioyo yenu. Najua kwa uhakika hiyo statement yako mwenyewe huuiamini kwa hili. Lakini maadam waliodhuriwa ni "wale" haijaalishi rohoni mwako mlimopigwa muhuri wa chuki dhidi ya 'wale'
 
Kama Mungu yupo atanikubali sana maana nahoji mambo ambayo hayana scientific proof! Sio vibaya kuhoji ndio maana (kama Mungu yupo) amekupa akili! Kudadisi mambo jamani ni kubaya?

Huamini mungu nitakwambia nini binaadamu mwenzio uniamini na hasa tukiwa pande tofauti. Mungu yupo na anakukubali sana kwani hakuna mwengine aliyeumba na anakubali kuwa waliopotoka pia ni viumbe vyake na amewaekea makazi maalum kama hidaya yao ya kuwa werevu huku wakishindwa hata kubadilisha maumbile wasiende chooni kutowa harufu mbaya. Puumzi zinadanganya sana !
 
Haya huwa yana mwisho wala wanaoteswa wasidhani Mungu kawasahau ila wajue duniani ni sehemu ya majaribio.
 
Naam kama mlivyo wazuri wa kubuni mradi tu mpate sababu ya kufanya maovu ya mioyo yenu. Najua kwa uhakika hiyo statement yako mwenyewe huuiamini kwa hili. Lakini maadam waliodhuriwa ni "wale" haijaalishi rohoni mwako mlimopigwa muhuri wa chuki dhidi ya 'wale'

Chuki dhidi ya "wale" wala haipo, mimi naamini ubinadamu na si udini. Mwanadamu mwenzangu ni wa muhimu zaidi kuliko mwanadini mwenzangu! Naamini hivyo! Kwangu mimi Mungu ni wa pili baada ya mwanadamu mwenzangu. hata kwenye biblia imeandikwa kuwa " Acheni unafiki, utanipendaje mimi usiyeniona na kumchukia jirani yako unayemuona. hata Huyo Mungu anatambua nguvu ya ubinadamu wangu kwa binadamu mwenzangu!
 
Kama Mungu yupo atanikubali sana maana nahoji mambo ambayo hayana scientific proof! Sio vibaya kuhoji ndio maana (kama Mungu yupo) amekupa akili! Kudadisi mambo jamani ni kubaya?

Chuki dhidi ya "wale" wala haipo, mimi naamini ubinadamu na si udini. Mwanadamu mwenzangu ni wa muhimu zaidi kuliko mwanadini mwenzangu! Naamini hivyo! Kwangu mimi Mungu ni wa pili baada ya mwanadamu mwenzangu. hata kwenye biblia imeandikwa kuwa " Acheni unafiki, utanipendaje mimi usiyeniona na kumchukia jirani yako unayemuona. hata Huyo Mungu anatambua nguvu ya ubinadamu wangu kwa binadamu mwenzangu!

Nilifikiri ni mtu mwenye msimamo. Hoja zako zinalingana kabisa nawe mwenyewe hivyo uendelee tu!
 
Mfumo wa utawala wa kiislaam hauwezi kufanikiwa popote kwa sababu unapingana na maendeleo ya kijamii na ya kisayansi. Amani pote duniani iko hatarini hadi hapo waislaam watakapokubali imani ya dini ni jambo binafsi la kiroho na lazima kutenganishwa na dola.
 
Wewe hujasoma taarifa kwamba walikutwa na bunduki 18?

Walikutwa wewe ulikuepo? Au unafata propaganda wanazozipandikiza juu ya waislam? Haya na vipi hawa watu waloowauwa wao? ImageUploadedByJamiiForums1391784644.341929.jpg ImageUploadedByJamiiForums1391784644.341929.jpg
Mbona walisema watu waliokufa ni watatu?
 
Once watu/kikundi cha watu kinapoviolet sheria zilizowekwa kihalali,dawa yao ni hii tu..
 
Ungekuwa mgeni na polisi nisingeshangaa!

Ahsante mkuu inaonekana Huyu ni mgen na hata nahivo vyombo vya habar , ushuhuda upo umetolewa kwamba waliingia msikitini bila ya heshma wakat mkuu wa msikitini aliposimama kwenye kipaza saut ili kuwambia Kua jesh la polisi lisiingie na viatu msikitini Kama wanawahitaj wao watatoka nje hapo ndipo wakammiminia risasi Kitendo hiko kiliwatia nguv vijana na kumjeruh huo jeshi alofanya hivo, tena baada ya virugu nakuuwa baadh ya waumin walikataza watu wasichukue maiti na hapo baada ya MUDa wanatangaza Kua watu walokufa watatu, jaman uhuru wa kuabud kwa kila binaadam unazingatiwa kwanini baada ya kuona Kua wanawas was na huo msikit waende na silaha Wakt ndan ya msikit kumejaa watoto na wanawake?
 
Back
Top Bottom