Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,873
Jesca Kishoa amhamisha mkurugenzi wa Iramba baada ya kutoa ufisadi wa kutisha katika halmashauri ya Iramba. Jesca Kishoa aliwaeleza wananchi juu ya ufisadi uliofanywa na halmashauri hiyo katika mikutano ya hadhara wiki iliyopita.
Baada ya heka heka ya jimbo la Iramba kwa Mwigulu Nchemba , Jeaca, George Gunda, Binti ChDEMA (HANJE), Pembe Msafiri pamoja na kamanda Emmanuely Shango.
Sasa inaonyesha dhahiri kuwa uozo wa serikali kuwahamisha watuhumiwa wa ufisadi kutoka eneo moja kwenda jingine unaendelea kwa kasi yake badala ya kuwawajibisha.
Hongera Jesca kwa kazi nzuri Iramba.
Baada ya heka heka ya jimbo la Iramba kwa Mwigulu Nchemba , Jeaca, George Gunda, Binti ChDEMA (HANJE), Pembe Msafiri pamoja na kamanda Emmanuely Shango.
Sasa inaonyesha dhahiri kuwa uozo wa serikali kuwahamisha watuhumiwa wa ufisadi kutoka eneo moja kwenda jingine unaendelea kwa kasi yake badala ya kuwawajibisha.
Hongera Jesca kwa kazi nzuri Iramba.