Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,872
- Thread starter
- #21
Nilidhani kafukuzwa kumbe kahamishwa
Wanavyo gawana ufisadi ndio wanavyogawana madaraka hivyo hivyo
Nilidhani kafukuzwa kumbe kahamishwa
Asante kwa taarifa beki 3 wa Tumbili.
Na bado...watahamisha hadi ndugu wa mbunge aliyepo...
Heko ccm Linda mafisadi kwa kuwahamisha hizo ndio Sera za chama ccm
Jesca Kishoa amhamisha mkurugenzi wa Iramba baada ya kutoa ufisadi wa kutisha katika halmashauri ya Iramba. Jesca Kishoa aliwaeleza wananchi juu ya ufisadi uliofanywa na halmashauri hiyo katika mikutano ya hadhara wiki iliyopita.
Baada ya heka heka ya jimbo la Iramba kwa Mwigulu Nchemba , Jeaca, George Gunda, Binti ChDEMA (HANJE), Pembe Msafiri pamoja na kamanda Emmanuely Shango.
Sasa inaonyesha dhahiri kuwa uozo wa serikali kuwahamisha watuhumiwa wa ufisadi kutoka eneo moja kwenda jingine unaendelea kwa kasi yake badala ya kuwawajibisha.
Hongera Jesca kwa kazi nzuri Iramba.
Huyu Jesca ana akili kama za Josefin Myshumbusi, Kafulila kala hasara
Ccm wanacheza michezo waliyozoea ya FutuhiHuyo mkurugenzi kahamishiwa wapi mbona hamtujuzi!!!!! Semeni kahamishwa lini na nani kaletwa hapo iramba.
Ccm wanacheza michezo waliyozoea ya Futuhi
wanapiga hela, wananch wanaangalia tu
mleta mada ungedadavua na sababu au ufisadi uliofanywa na huyo kiongoz
kishoa jembe