mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,404
- 3,277
Hivi wewe ukisikia wapalestina wanapigana na waisrael,unafikiri wapalestina wote ni wwislamu.Wamo wapalestina wakristo pia.Ndio ukaona huu mzozo sio wa kidini,huu mzozo ni wapalestina(wakristo na waislamu),kugombania ardhi yao, iliyochukuliwa na waisrael.
Wengi wa wakristo wa Tanzania,haelewi kama huu sio mzozo wa kidini,baina ya waislamu na waisrael.
Unaujua uislam wewe, hakuna dhehebu linalojua wana wa Israel kama Islam, tatizo mnafichwa mengi, ndio maana mnaambiwa huko wakristo ni 2% hujiulizi tu. Nakushangaa akili yako inakutuma BN ni mkristo, pole sana. Aliyekwambia Yesu alikuwa mkristo nani? Hata historia ya dini unayoifuata huijui.Hivi Suleman alijenga huo msikiti?
Maana tunajua alijenga hekalu
Huo msikiti umejengwa karne za juzi tu
Why waislamu mnalazimisha yerusalemu uwe mji wenu?
Neno israeli lina maana yake kibiblia , ,nyie kwenye koran hamjui hata maana ya Israeli
Mnadanganya watu eti ibrahimu alikuwa muslim
Wakat uislamu umekuja juzi juzi na muhamad ,before hakuna hata chembe ya history kuwa kuliwahi kuwepo na kitu kinaitwa islamu ,
Tabby Islam wana Mungu mmoja tu, hatuna wawili wala watatuWayahudi na Wakristo wala hawapingani juu ya umuhimu wa Jerusalem kwao. Wakristo wanaelewa kwamba Jerusalem ni ya Isreal. Wakienda kule wanakwenda kwa mantiki ya imani yao wala hawajawahi na hawawezi kung'ang'ania kuwafukuza Wayahudi kule eti sasa ni kwao kwa kuwa kuna chimbuko la imani yao!. Ridiculous!
Hawa waislam, kuna misingi gani ya Imani yao ya uislam katika Jerusalem?
Ndiko alikozaliwa mungu wao mohamed?
Kuna kaburi la mohamed?
Kuna nini cha imani yao katika Jerusalem?
Hawa watu ni wakorofi siku zote:-, hata ukiwapa Israel nzima haiwezi kuwapa amani kwa sababu amani yao huwa ni machafuko.
Waislam muoni haya.Oneni aibu kuwa watu wa kuanzisha machafuko na kusababisha umwagaji damu kila mnakokuwa na hata kwa majirani mnaopakana nao. Shame!
Labda alipaa kwenda chiniInteresting!!!kumbe muhamed nae alipaa mbinguni?aisee nilikuwa silijui hili,ila mbona nasikia alikufa kwa sumu na akazikwa ardhini?hapa pakoje hapa!
Ati eeehKuna mtume mwongo aliwadanganya waumini wake kuwa alisafiri usiku hadi Jerusalem!! Huyu ndie alieenza chuki ya ya kipuuzi kabisa kwa kutunga uongo!
Ingekuwa vizuri kama utaniambia jina la hicho kitabu chenye hii habari na Mimi nikisome huenda kuna nitakachoambulia hapoMuhammad kazaliwa mwaka 570 baada ya Yesu, na utume kapata kutoka kwa mganga wa kienyeji mapangoni alipopelekwa kutibiwa homa na mkewe, ni Khadija(mganga akiitwa WaragaWaraqa- I stand to be corrected on this name). Na uislam umesimikwa rasmi mwaka 610, tena kwa vita baada ya kuwaua wachungaji na mapadri wengi ili kuutokomeza Ukristo.
Inashangaza sana Waislamu kusema Ibrahim alikuwa Islam.
Huyu jamaa kwa mengine yupo vizuri sana inapofika kwenye imani ndio utajua udhaifu wake ulipo yaani hata yeye anakuwa hajijui hakawii kukwambia yeye ni kondooUmesoma hiyo makala ya BBC?
Ulikuwa hujui? Endelea Kuamini ya kusikiaInteresting!!!kumbe muhamed nae alipaa mbinguni?aisee nilikuwa silijui hili,ila mbona nasikia alikufa kwa sumu na akazikwa ardhini?hapa pakoje hapa!
Ndio ujue kuna watu wana elimu ya dini kuliko wewe kwa mara ya kwanza nakuona umenywea huwa tunakuchora tu [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Honestly I don't care much who is god to who. That is their business. Ninachokisema ni kwamba nifahamishwe uhusiano wa waislam na Jerusalem!
Hii uliyoeleza hapa kuna mambo hujayaeleza kidogo , kuna sababu ya kubadili kibla kutoka Jerusalem kwenda Mecca. Kama yawezekana kuweka sababu, naomba uweke ili tujue. Maana kama ingalikuwa hakuna umuhimu mkubwa pale kwa Waisilam basi wangewaacha wale Waisrael na huo mji, kuepusha ugomvi. There is a greatest secreat there na kama ingalikuwa kama ilivyotakiwa yawezekana hata pangekuwa ndo mahali patakatifu zaid .Wakati mtume Muhammad "saw" alipoanza ibada ya swala aliamrishwa na mwenyezi Mungu kuilekea Masjid Agsa (Jerusalem). Kama kibra. Baadaye mwenyezi mungu mwenyewe alimbadirishia kuwa aifanye Kibra kuwa Masjid Harram (Macca). Hata hivyo Msikiti wa Maka, Madina na huo wa Agsa ndiyo misikiti mitakatifu kwa majibu wa uislam.
Ingekuwa vizuri mkawa na hakika na mnayoyaandika, we mkweli ulijuaje kama huyu mtume ni muongo, ulikuwapo muda alipowadanganya wafuasi wake, ulikuwapo huo muda alipodanganya kwa hicho anachosema amekifanya. Msilolijua sio vyema kuliongelea, jaribu kufahamu ndipo muamuwe kuwambie wengine.Kuna mtume mwongo aliwadanganya waumini wake kuwa alisafiri usiku hadi Jerusalem!! Huyu ndie alieenza chuki ya ya kipuuzi kabisa kwa kutunga uongo!
Ahahahahahahaa mwingine huyuWatu mnangangania Yerusalem ya kale, sisi twatazamia Jerusalem Mpya ishukayo kutoka mawinguni
Ndio ujue kuna watu wana elimu ya dini kuliko wewe kwa mara ya kwanza nakuona umenywea huwa tunakuchora tu [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Tabby Islam wana Mungu mmoja tu, hatuna wawili wala watatu
Pimbi huyoo mleta uzi watu Tunataka amani yeye analeta udini wake hapa hopeless kabisa yaani Lol [emoji16] Waislamu na Wakristo wameishi pamoja miaka yote isipokuwa hao wajinga na ideology zao za ushetani ndoo fitna wakubwa,HAYA TUFAHAMISHE SASA HUO MSIKITI ULIJENGWA JUZI NA KINA NANI??
Wewe unasema uislamu umekuja juzi tu
Haya naomba ANDIKO KATIKA KITABU CHAKO UNACHOKIAMINI LINAYOSEMA KUA KRISTO NI DINI
NIPE ANDIKO
Nikizama saana kidini saana saana huu uzi utafungiwa tu,
Huo msikiti wa Al-Aqsaa unaufahamu vizuri historia yake???hebu nenda kwanza ukaoge half ukaanze kuchota maji kisimani
Utaniharibia siku bure tu kuanza kulumbana na matoto
Katika huu Uzi umenisoma vizuri? Umeona sehemu nimeiongelea Jerusalem? Kikubwa nimekanusha ulichoongea jaribu kupitia vizuri, pia nashukuru nimekuelewa zaidi juu ya uelewa wako katika imaniOk. Umesema sahihi kwa kuwa wewe ndiye unayeabudu.
Swali langu, kuna nini chenu na mungu wenu katika Jerusalem?
Naomba uwe precise ili tujadili. Kuna mtu mmoja jana aliniambia kwamba Kibra ilikuwa Jerusalem kabla haijahamishiwa Mecca.
Nikamwuliza, aliyejenga Kibra Jerusalem ni nani? Alijenga lini? hajanijibu. Sasa wewe ninaona unaelewa hii habari, naomba unijibu na maswali ya nyongeza, : Ilikuwaje ikajengwa Jerusalem? Kwa nini ilihamishiwa mecca? Baada ya kuhamishwa hiyo Kibra, nini kilisalia cha uislam ambacho kinashikana na ardhi ya Jerusalem hadi iwe mali ya waislam hata kama siyo kwao?
Ahsante.