Mkuu kuna mitume waliotumwa kueneza dini ya kiislamu ni WAYAHUDI vilevile muhimu utambue na hilo
Kwa mfano Nabii Suleiman alikuwa myahudi lkn ndie aliewaamrisha viumbe waliokua chini yake kuujenga huo msikiti na nabii suleiman alikuja kabla ya nabii Issa(Yesu)
Na chanzo cha QIBLA ni hapo.kila muislam anaposali lazima aelekee kibla na chanzo chake ndio hapo hicho kibla
Hii ni dunia nzima wanalifahamu hilo
Quraan kareem haijaacha kitu.Yote yapo ndani yake
Zaburi-Alipewa nabii Dawood
Taurat-Alipewa nabii Musa
Injili (Biblia)-Alipewa nabii Issa (Yesu)
Quraan-Alipewa nabii muhammad s,a,w
Hicho kitabu cha mwisho ndio imeviunga vitabu vyote hivyo vya mwanzo.imetaja kila kitu
I hope utakua umenielewa mkuu