Jerusalem kwa mujibu wa BBC

Jerusalem kwa mujibu wa BBC

Waislamu achen kung'ang'ania hekalu na mji wa watu

Hivi Suleman alijenga huo msikiti?

Maana tunajua alijenga hekalu

Huo msikiti umejengwa karne za juzi tu

Why waislamu mnalazimisha yerusalemu uwe mji wenu?

Neno israeli lina maana yake kibiblia , ,nyie kwenye koran hamjui hata maana ya Israeli ,mnaropoka tu

Mnadanganya watu eti ibrahimu alikuwa muslim

Wakat uislamu umekuja juzi juzi na muhamad ,before hakuna hata chembe ya history kuwa kuliwahi kuwepo na kitu kinaitwa islamu ,

Nyie nenden macca na madin huko mkacheze na majini na kurusha mawe
Mungu tunusuru na chuki dhidi ya Makafiri
 
nakuelewa ndugu sana sana na vizuri umenijulisha kuwa hao mitume ni wayahudi ndiyo maana nikasema hivyo ila lazima tujue mji sio dini ila dini ipo katika mji kabla ya ibrahim baba wa mababa wa dini zote uyahudi,uislam na ukristo palikuwa na watu hapo sasa tukitetea amani kwa kidini atuwezi kuipata coz imani ni roho huwezi tenga mwili na roho,hivyo udini ukishika kasi hapo tusitegemee amani ikapatikana pia kumbuka na myahudi atakwambia sulemani ni myahudi na daudi baba yake ndiyo aliwajengea huo mji na mkristo atakwmbia daudi baba yake sulemani ndiyo chanzo cha Yesu ndiyo maana anaitwa mwana wa daudi na jeruselem ndiyo mji wake unafikiri amani itapatikana hapo,nafikiri sisi tuliodandia wakristo na waislamu tukubali tu wayahudi ndiyo wenye haki asilimia mia.kwani dini zingine zimekuja na kuwakuta wayahudi.

Tupo pamoja mkuu,
Lkn na swali moja tu kwani huo Msikiti upo kwenye ardhi ya israel au palestina??
 
Waislamu achen kung'ang'ania hekalu na mji wa watu

Hivi Suleman alijenga huo msikiti?

Maana tunajua alijenga hekalu

Huo msikiti umejengwa karne za juzi tu

Why waislamu mnalazimisha yerusalemu uwe mji wenu?

Neno israeli lina maana yake kibiblia , ,nyie kwenye koran hamjui hata maana ya Israeli ,mnaropoka tu

Mnadanganya watu eti ibrahimu alikuwa muslim

Wakat uislamu umekuja juzi juzi na muhamad ,before hakuna hata chembe ya history kuwa kuliwahi kuwepo na kitu kinaitwa islamu ,

Nyie nenden macca na madin huko mkacheze na majini na kurusha mawe
Muhammad kazaliwa mwaka 570 baada ya Yesu, na utume kapata kutoka kwa mganga wa kienyeji mapangoni alipopelekwa kutibiwa homa na mkewe, ni Khadija(mganga akiitwa WaragaWaraqa- I stand to be corrected on this name). Na uislam umesimikwa rasmi mwaka 610, tena kwa vita baada ya kuwaua wachungaji na mapadri wengi ili kuutokomeza Ukristo.
Inashangaza sana Waislamu kusema Ibrahim alikuwa Islam.
 
Wayahudi au uyahudi wanawawekak wakiristo na waislam kundi moja tu, hawajawahi kumkubali Yesu kama mtume wao kamwe, na wakiristo wa Israel na mashariki ya kati wanaua hili , ndio maana juzi waliandamana na kutoa tamko kwamba Jerusalem ibaki kama City of peace kwa dini zote, tatizo humu watu sio wafuatiliaji wa mambo ..... wakristo wa Israel wanapata shida sawa na wenzao wailam juu ya mayahudi , mimi nilikutana na mkiristo mkimbizi wa kipalestine kule Iraq na ni mkimbizi kwa sababu ya hao hao, ila huku kwetu tunafikiri uyahudi ni ukiristo .... uyahudi ni dini tofauti kabisa na wale conservative wanamchukulia Yesu kama nabii wa uongo, ni uislam tu ndio wanamuamini Yesu katika dini zote zisizo za kikiristo
Ukiwa mvivu Wa kusoma maandiko lazima uwe mtumwa...
Hata ukiambiwa Binadamu ni Mungu utakubali tu....sembuse tofauti ya uyahudi na ukristo...
 
IMG_20171211_192416.jpg
 
,HAYA TUFAHAMISHE SASA HUO MSIKITI ULIJENGWA JUZI NA KINA NANI??
Wewe unasema uislamu umekuja juzi tu
Haya naomba ANDIKO KATIKA KITABU CHAKO UNACHOKIAMINI LINAYOSEMA KUA KRISTO NI DINI
NIPE ANDIKO
Nikizama saana kidini saana saana huu uzi utafungiwa tu,
Huo msikiti wa Al-Aqsaa unaufahamu vizuri historia yake???hebu nenda kwanza ukaoge half ukaanze kuchota maji kisimani
Utaniharibia siku bure tu kuanza kulumbana na matoto
Acha mbwembwe za kujifaragua juu ya mifumo ya kiarabu wakati kapuku tu.
 
Muhammad kazaliwa mwaka 570 baada ya Yesu, na utume kapata kutoka kwa mganga wa kienyeji mapangoni alipopelekwa kutibiwa homa na mkewe, ni Khadija(mganga akiitwa WaragaWaraqa- I stand to be corrected on this name). Na uislam umesimikwa rasmi mwaka 610, tena kwa vita baada ya kuwaua wachungaji na mapadri wengi ili kuutokomeza Ukristo.
Inashangaza sana Waislamu kusema Ibrahim alikuwa Islam.
Achana na Usilamu .......pambana na hari yako. hayo hayatakusaidia chochote utapata laana bure tu.
 
Mkuu huwezi kusoma mavitabu ya ajabu ajabu alafu ukaelewa ukweli mbali na biblia takatifu,hiki ndicho kitabu bora zaidi kuliko vyote duniani,kwani kmeandikwa na watu tofauti tofauti,wenye taaluma tofauti tofauti,waliishi miaka tofauti tofauti lakini wote wameandika mambo yanayo fanana,hakika Mungu wa Israel ni wa ajabu.watu tofauti tofauti katika miaka tofauti tofauti wametabiri juu ya mji wa bwna wamajeshi yaani Yerusalem nahakuna unabii ambao hujatimia soma unabii wa yeremia,Ezekiel, isaya,Daniel, mika,zakaria,injiri na ufunuo wa Yohana wote hawa wametabiri habari za Israel na unabii mwingi kati ya huo umeisha timia na baadhi unakwenda kutia muda sii mrefu.
Finally a proof kuwa Bible is not a word from God but ni kutoka kwa watu tofauti tofauti
 
bbc wamejitahidi sana kuonyesha umuhimu wa Jerusalem kwa dini zote tatu lakini kuna watu kama Jackwillpower yanazani ni mji wa wayahudi na wakristo pekee wakati hata ndugu zetu waislamu wana historia yao ndani ya Jerusalem!!..
Ukifatilia sana hii mitoto ya mama Ellen G white ndo inayotetea zaidi upumbavuu huu!!..
nimeshajiandaa kwa ban aahh.
 
Ni nani amekuongopea kuwa waislamu wanasema Muhammad ni mungu wao? mbona mnapenda kuropoka vitu msivyovijua!
Mkuu wewe waangalie tuu ao jamaa yameshatoka maneno ya chuki ndan ya vinywa vyao na walioyaficha ktk nyoyo zao ni makubwa zaid
 
Nadhani ili kumaliza mzozo, mji huu uchukuliwe na dunia. Usikaliwe na Wayaudi wala Waparestina. UN itoe watu wa kuhudumia mji huu.
 
Mikristo isiyojua nini maana ya kuishi kwa kuvumiliana ndiyo inayosapoti Israel kujimilikisha Yerusalem yote wakati huo kumbukeni wakimaliza watoa waislamu watarudi dai na eneo la wakristo pia!!...
Yerusalem inabidi ibaki eneo la dini zote hata freemason na wasio na dini kama vipi wapate eneo tuu!!..
 
Wayahudi na Wakristo wala hawapingani juu ya umuhimu wa Jerusalem kwao. Wakristo wanaelewa kwamba Jerusalem ni ya Isreal. Wakienda kule wanakwenda kwa mantiki ya imani yao wala hawajawahi na hawawezi kung'ang'ania kuwafukuza Wayahudi kule eti sasa ni kwao kwa kuwa kuna chimbuko la imani yao!. Ridiculous!

Hawa waislam, kuna misingi gani ya Imani yao ya uislam katika Jerusalem?

Ndiko alikozaliwa mungu wao mohamed?

Kuna kaburi la mohamed?

Kuna nini cha imani yao katika Jerusalem?

Hawa watu ni wakorofi siku zote:-, hata ukiwapa Israel nzima haiwezi kuwapa amani kwa sababu amani yao huwa ni machafuko.

Waislam muoni haya.Oneni aibu kuwa watu wa kuanzisha machafuko na kusababisha umwagaji damu kila mnakokuwa na hata kwa majirani mnaopakana nao. Shame!

Umesoma hiyo makala ya BBC?
 
Tupo pamoja mkuu,
Lkn na swali moja tu kwani huo Msikiti upo kwenye ardhi ya israel au palestina??
Huo msikiti upo jerusalem mji ambao upo tangu israel ya kale,tatizo hapo ni colonization hiyo middle east ilitawaliwa karibu miaka 400 na dola ya ottoman hadi vita ya kwanza ya dunia ulipofanyika ugawaji wa ardhi huku kwetu takapata tanganyika .kwa kipindi hicho dola hiyo wayahudi walitawanyika sana toka katika ardhi hiyo kukimbia mateso ambayo kwa sehemu kubwa yaliface wao, wapelestina walikuwa ni watumwa wa kiarabu ambao walitoka katika nchi za kiarabu na wakaweka makazi hapo na wakaongezeka, baada ya vita hiyo mataifa makubwa likiwemo waingereza na wafaransa wakagawa mipaka wakiwa wamemega sehemu ambayo waparestina walifika kama watumwa na badaye yakawa makazi yao rasmi kama ilivyo liberia au visiwa vya karibian na kuwapa israel israel walipofika kwakuwa walikuwa na sapoti ya wazungu wakaanza kupora na maeneo walikuwa wanakaa wapelestina kwa kufata historia katika kwenye vitabu.Hivyo lile eneo ni la israel ambalo nao waliiba toka makabila mengine kwa kuyavamia kama Mungu alivyomwambia Musa ila wapalestine walikuja kama watumwa toka arabu ambao wanaasiri zinazofanana.hivyo tatizo hapo ni wazungu katika ugawaji wa nchi kama sasa hivi tuna wajuruo kenya na tanzania ila imesaidia sababu nyerere aliondoa ukabira.kiuarisia palestine hana sehemu ya kwenda ila israel pale ni pake kama wazungu wasingeigawa ile nchi kwa israel na palstine bali wangetengeza mazingira ya kuwatambua na kuwafanya waishi pamoja bila kuwatenga yasingetokea haya yote.mzozo ule auwezi kuisha kwani palestine hanasehemu ya kwenda na israel anasema pale pake palestine atoke .tuombe Mungu ule mzozo usiingizwe kidini ,maana vita ya kidini ni kubwa kuliko vita ya aina yoyote hata sisi atutakuwa salama maana kuna waislam na wakristo kama huko.
 
Mkuu kuna mitume waliotumwa kueneza dini ya kiislamu ni WAYAHUDI vilevile muhimu utambue na hilo
Kwa mfano Nabii Suleiman alikuwa myahudi lkn ndie aliewaamrisha viumbe waliokua chini yake kuujenga huo msikiti na nabii suleiman alikuja kabla ya nabii Issa(Yesu)
Na chanzo cha QIBLA ni hapo.kila muislam anaposali lazima aelekee kibla na chanzo chake ndio hapo hicho kibla
Hii ni dunia nzima wanalifahamu hilo
Quraan kareem haijaacha kitu.Yote yapo ndani yake
Zaburi-Alipewa nabii Dawood
Taurat-Alipewa nabii Musa
Injili (Biblia)-Alipewa nabii Issa (Yesu)
Quraan-Alipewa nabii muhammad s,a,w
Hicho kitabu cha mwisho ndio imeviunga vitabu vyote hivyo vya mwanzo.imetaja kila kitu
I hope utakua umenielewa mkuu
Kumbe Dini zote ni za Wayahudi? Kumbe sisi ni wafuasi wao, kumbe sisi wafuasi wa kilichomfikia myahudi kqa ajili yake, ile tu tukapewa offer tunataka hadi Maeneo yao yawe yetu, kama Trump na serikali yake wameamua kuutambua mji uliomo Israel kuwa makao makuu ya Israel, sisi wafuasi tulioenda kustaajabu vyanzo vya imani zetu tunataka tubaki huko huko? OK tubaki, lakini tujue mji wao mkuu ni Jerusalem, tena inajulikana Jerusalem Mashariki ya Nani na Magharibi ni ya Nani? Hata hao walowezi watangaze mji huo huo upande wao ndio makao yao makuu!
Wakishindwa hilo washindiwe wakae au washindwe wasimame.
Waliosema wayahudi wamejichimbia kaburi wawafukie au wawazike hapo
Wachukue mji.
Warumi, Warumi, Warumi!
 
Mkuu kuna mitume waliotumwa kueneza dini ya kiislamu ni WAYAHUDI vilevile muhimu utambue na hilo
Kwa mfano Nabii Suleiman alikuwa myahudi lkn ndie aliewaamrisha viumbe waliokua chini yake kuujenga huo msikiti na nabii suleiman alikuja kabla ya nabii Issa(Yesu)
Na chanzo cha QIBLA ni hapo.kila muislam anaposali lazima aelekee kibla na chanzo chake ndio hapo hicho kibla
Hii ni dunia nzima wanalifahamu hilo
Quraan kareem haijaacha kitu.Yote yapo ndani yake
Zaburi-Alipewa nabii Dawood
Taurat-Alipewa nabii Musa
Injili (Biblia)-Alipewa nabii Issa (Yesu)
Quraan-Alipewa nabii muhammad s,a,w
Hicho kitabu cha mwisho ndio imeviunga vitabu vyote hivyo vya mwanzo.imetaja kila kitu
I hope utakua umenielewa mkuu

Sheikh, Quraan ni mjumuiko wa vitabu vifuatvyo, Zaburi ya Daudi, Injil ya Yesu ( Issa) , Tourat ya Mussa na Furqan ya Muhammad ( SAW), na uislam haukuazia kwa Muhhamad, bali yeye ndie mtume wa mwisho .... na Mitume wote walikua waislam ... Allahu aalam
 
Back
Top Bottom