Mkuu huwezi kusoma mavitabu ya ajabu ajabu alafu ukaelewa ukweli mbali na biblia takatifu,hiki ndicho kitabu bora zaidi kuliko vyote duniani,kwani kmeandikwa na watu tofauti tofauti,wenye taaluma tofauti tofauti,waliishi miaka tofauti tofauti lakini wote wameandika mambo yanayo fanana,hakika Mungu wa Israel ni wa ajabu.watu tofauti tofauti katika miaka tofauti tofauti wametabiri juu ya mji wa bwna wamajeshi yaani Yerusalem nahakuna unabii ambao hujatimia soma unabii wa yeremia,Ezekiel, isaya,Daniel, mika,zakaria,injiri na ufunuo wa Yohana wote hawa wametabiri habari za Israel na unabii mwingi kati ya huo umeisha timia na baadhi unakwenda kutia muda sii mrefu.