Jerusalem kwa mujibu wa BBC

Jerusalem kwa mujibu wa BBC

Waislamu achen kung'ang'ania hekalu na mji wa watu

Hivi Suleman alijenga huo msikiti?

Maana tunajua alijenga hekalu

Huo msikiti umejengwa karne za juzi tu

Why waislamu mnalazimisha yerusalemu uwe mji wenu?

Neno israeli lina maana yake kibiblia , ,nyie kwenye koran hamjui hata maana ya Israeli ,mnaropoka tu

Mnadanganya watu eti ibrahimu alikuwa muslim

Wakat uislamu umekuja juzi juzi na muhamad ,before hakuna hata chembe ya history kuwa kuliwahi kuwepo na kitu kinaitwa islamu ,

Nyie nenden macca na madin huko mkacheze na majini na kurusha mawe
Sijapata kuona mtu punguniani kama wewe.....huna unachojua....huna kilichobakia ktk moyo wako.....mwisho nikutakie mwangaza ktk Maisha yako utoke ktk kiza kilichokupa usingizi wa akili na roho.
 
Wayahudi au uyahudi wanawawekak wakiristo na waislam kundi moja tu, hawajawahi kumkubali Yesu kama mtume wao kamwe, na wakiristo wa Israel na mashariki ya kati wanaua hili , ndio maana juzi waliandamana na kutoa tamko kwamba Jerusalem ibaki kama City of peace kwa dini zote, tatizo humu watu sio wafuatiliaji wa mambo ..... wakristo wa Israel wanapata shida sawa na wenzao wailam juu ya mayahudi , mimi nilikutana na mkiristo mkimbizi wa kipalestine kule Iraq na ni mkimbizi kwa sababu ya hao hao, ila huku kwetu tunafikiri uyahudi ni ukiristo .... uyahudi ni dini tofauti kabisa na wale conservative wanamchukulia Yesu kama nabii wa uongo, ni uislam tu ndio wanamuamini Yesu katika dini zote zisizo za kikiristo
Wakristo wa Tanzania hasa hawa vilaza wasiopenda kujisomea hudhani yahudi ndugu zao wa damu, dini ya kiyahudi haimtambui yesu, hamkubali na haikuli kinachoitwa ukristo
 
Honestly I don't care much who is god to who. That is their business. Ninachokisema ni kwamba nifahamishwe uhusiano wa waislam na Jerusalem!
Soma makala ya nzima ya BBC uone uhusiano ulivyo
 
Hata hivyo ni vitu vya muda mfupi tu na vinapita hivyo sioni haja ya kugombania, kila mtu atumie kwa nafasi yake na muda wake. Hakuna ambae ataenda mbinguni kisa mji wa kihistoria ila wapo watakaoenda motoni kisa mji
 
Ebu tafakari juu ya miujiza ambayo Israel inapata inapokwenda vitani huwa inatokana na uwezo wa kibinadamu kweli au uwezo wa MUNGU? Dunia inapaswa kujiuliza kuwa iweje kila vita vikilipuka hata ambavyo dunia nzima ya Waarabu wakiungana pamoja lazima Israel ishinde? Iweje Israel inapomaliza vita huwa haitetereki kiuchumi? Iweje mataifa makubwa duniani yanaogopa kuitenga Israel? Iweje Israel imudu kupiga hatua ya kimaendeleo na usalama hata pale ambapo inawekewa vikwazo vya kiuchumi na jumuiya za kimataifa na kubaki kama kisiwa? Iweje Marekani dola kubwa duniani ni mwepesi kuliwekea taifa lolote duniani vikwazo ikiwemo Urusi hata bila kupitia UN wakati fulani, lakini Marekani hiyo hiyo haithubutu kuiwekea Israel vikwazo ila itaiachia UN ifanye hivyo?
 
Wakristo wa Tanzania hasa hawa vilaza wasiopenda kujisomea hudhani yahudi ndugu zao wa damu, dini ya kiyahudi haimtambui yesu, hamkubali na haikuli kinachoitwa ukristo

Yanakuhusu nini? Wewe ndiye unajua uhusiano wa Ukristo na Jerusalem? Ukristo hapa kwenye mzozo haupo. Hoja ni uislam na Jerusalem ambayo siyo yao. Elezea hapa.
 
Unajua nikwa nini watu wenye akili timamu hawapeleki watoto wao wa kiume shule zenu hizo za kishetani?


Can you show me Sodoma na Gomorrah ambako ndiko ushoga uliasisiwa hadi Mungu akaangamiza kwa moto ni wapi zaidi ya uarabuni?

Nani asiyejua kwamba ninyi huko ni kawaida kuingiliana kinyume na maumbile tangu mkiwa watoto kwa sababu siku ya kuolewa mnakaguliwa nyuchi za mbele?

Bila shaka upumbavu wako utakutoka utakaposoma summary hii hapa chini. Kama hujui kiingereza (najua wewe ni maimuna), tafuta mkalimani!

faby,
(0) (Reply) (Go Down)



Saudi Arabia :23% Of Children Have Been Raped; 46% Of Students Are Gay by BishopMagic: 11:43am On Aug 17, 2015
This what the Model State of Islam has to offer; widespread child abuse, pederastry and a thriving gay society.

Holy Kingdom indeed!

[size=18pt]
Saudi Arabian Study: 23% of Arab Children Have Been Raped; 46% of Arab Students Are Homosexual[/size]




Over 23% of Muslim children in a University study claimed to have been raped (1/4 of the entire population). Over 46% of Muslim male students in Riyadh are homosexuals, and over 25% of Muslim male student in Jeddah are homosexuals. Homosexual relations are common due to restriction of association between genders.
The actual percentage of sexual assault on children and women, beyond this University study, is believed to be over 80%.

(In broader surveys sexual assault and incest of children in Islamic societies are much higher than in this study.)

TRANSCRIPT:

Guest – More than 23% of children in Saudi society have been raped.

Host — So about a quarter of Saudi children have been–

Guest – About a quarter of Saudi children have been raped. Sixty-two percent of those people—

Host — Those children.

Guest – No, I’m sorry, the study was directed at university students. Twenty-three percent had been raped during their childhood. For 62% of those, the rape was never reported. This was because it was one of the victim’s relatives.
In the study, it was mentioned that more than 16% of the rapists were relatives, specifically 5% were siblings, 2% were teachers, and 1% were parents.
In another study, which was conducted by Dr. In’am (al-Rabu’i), who is the president of children’s studies at the Armed Forces Hospital in Jeddah, she mentioned, or warned, that in the coming years we will suffer as a society from extremely widespread cases of homosexuality. The reason for this is the increase in the cases of sexual assault of children (brought) to the hospital, as well as the societal violence inflicted on children. She also mentioned that the hospital had on average three sexual assault cases per week.

Host — How large of an area did the study cover?

Guest – I don’t know, this is just what she mentioned on behalf of the Saudi nation. It was published on behalf of the nation, and can be considered very reliable. In addition to that, there is a study from the Office of Societal Supervision, which is also very serious. This study reported that 46% of students in the city of Riyadh suffer from homosexuality. Twenty-five percent of students in Jeddah suffer from homosexuality. We must be aware of this in order to combat these numbers quickly. The society has become fragmented. When we have a percentage of students—children or teenagers—who are gay, this is a catastrophe, a true catastrophe. I mean, we don’t have a strong society. We should really look at this more seriously.

Host — This is a new thing in Saudi Arabia for newspapers to write articles on this subject. The studies which you mentioned, are they saying this is something new?

Guest – No, it’s not new.

Saudi Arabian Study: 23% of Arab Children Have Been Raped; 46% of Arab Students Are Homosexual

This is why most young Arab men become suicide bombers.
They are yearning for redemption and reeling from guilt that is why they think by blowing themselves up for allah's sake they will get to heaven and be free of their guilt and shame.

The case in northern Nigeria is no different as thousands of underage boys are systematically abused on a daily basis by their Imans.

Islam is rotten to the core.
 
Jiulize mwenyewe, maana mzozo ni palestina na Israel, wewe mang'ati kimbelembele chako kinahusu nini?

Wewe ni mpaeestina? What are you doing here? Kama huna hoja unanyamaza. Kiwango chako cha kuelewa zero, huwezi kunipa jibu wewe. Acha wanaojua watatoa maelezo.
 
Wayahudi na Wakristo wala hawapingani juu ya umuhimu wa Jerusalem kwao. Wakristo wanaelewa kwamba Jerusalem ni ya Isreal. Wakienda kule wanakwenda kwa mantiki ya imani yao wala hawajawahi na hawawezi kung'ang'ania kuwafukuza Wayahudi kule eti sasa ni kwao kwa kuwa kuna chimbuko la imani yao!. Ridiculous!

Hawa waislam, kuna misingi gani ya Imani yao ya uislam katika Jerusalem?

Ndiko alikozaliwa mungu wao mohamed?

Kuna kaburi la mohamed?

Kuna nini cha imani yao katika Jerusalem?

Hawa watu ni wakorofi siku zote:-, hata ukiwapa Israel nzima haiwezi kuwapa amani kwa sababu amani yao huwa ni machafuko.

Waislam muoni haya.Oneni aibu kuwa watu wa kuanzisha machafuko na kusababisha umwagaji damu kila mnakokuwa na hata kwa majirani mnaopakana nao. Shame!
Hivi wewe ukisikia wapalestina wanapigana na waisrael,unafikiri wapalestina wote ni wwislamu.Wamo wapalestina wakristo pia.Ndio ukaona huu mzozo sio wa kidini,huu mzozo ni wapalestina(wakristo na waislamu),kugombania ardhi yao, iliyochukuliwa na waisrael.
Wengi wa wakristo wa Tanzania,haelewi kama huu sio mzozo wa kidini,baina ya waislamu na waisrael.
 
Wayahudi au uyahudi wanawawekak wakiristo na waislam kundi moja tu, hawajawahi kumkubali Yesu kama mtume wao kamwe, na wakiristo wa Israel na mashariki ya kati wanaua hili , ndio maana juzi waliandamana na kutoa tamko kwamba Jerusalem ibaki kama City of peace kwa dini zote, tatizo humu watu sio wafuatiliaji wa mambo ..... wakristo wa Israel wanapata shida sawa na wenzao wailam juu ya mayahudi , mimi nilikutana na mkiristo mkimbizi wa kipalestine kule Iraq na ni mkimbizi kwa sababu ya hao hao, ila huku kwetu tunafikiri uyahudi ni ukiristo .... uyahudi ni dini tofauti kabisa na wale conservative wanamchukulia Yesu kama nabii wa uongo, ni uislam tu ndio wanamuamini Yesu katika dini zote zisizo za kikiristo
Tatizo la wakristo wengi wa Tanzania,wana ufahamu mdogo sana katika siasa za kimataifa.Hapa sio mzozo wa kidini,mzozo uliyopo ni wapalestina (wakristo na waislamu,wanagombania ardhi yao, iliyochukuliwa na waisrael.Wao wenyewe wapalestina ,wakristo na waislamu,hawana ugomvi,wanaishi pamoja.
 
Huo msikiti upo jerusalem mji ambao upo tangu israel ya kale,tatizo hapo ni colonization hiyo middle east ilitawaliwa karibu miaka 400 na dola ya ottoman hadi vita ya kwanza ya dunia ulipofanyika ugawaji wa ardhi huku kwetu takapata tanganyika .kwa kipindi hicho dola hiyo wayahudi walitawanyika sana toka katika ardhi hiyo kukimbia mateso ambayo kwa sehemu kubwa yaliface wao, wapelestina walikuwa ni watumwa wa kiarabu ambao walitoka katika nchi za kiarabu na wakaweka makazi hapo na wakaongezeka, baada ya vita hiyo mataifa makubwa likiwemo waingereza na wafaransa wakagawa mipaka wakiwa wamemega sehemu ambayo waparestina walifika kama watumwa na badaye yakawa makazi yao rasmi kama ilivyo liberia au visiwa vya karibian na kuwapa israel israel walipofika kwakuwa walikuwa na sapoti ya wazungu wakaanza kupora na maeneo walikuwa wanakaa wapelestina kwa kufata historia katika kwenye vitabu.Hivyo lile eneo ni la israel ambalo nao waliiba toka makabila mengine kwa kuyavamia kama Mungu alivyomwambia Musa ila wapalestine walikuja kama watumwa toka arabu ambao wanaasiri zinazofanana.hivyo tatizo hapo ni wazungu katika ugawaji wa nchi kama sasa hivi tuna wajuruo kenya na tanzania ila imesaidia sababu nyerere aliondoa ukabira.kiuarisia palestine hana sehemu ya kwenda ila israel pale ni pake kama wazungu wasingeigawa ile nchi kwa israel na palstine bali wangetengeza mazingira ya kuwatambua na kuwafanya waishi pamoja bila kuwatenga yasingetokea haya yote.mzozo ule auwezi kuisha kwani palestine hanasehemu ya kwenda na israel anasema pale pake palestine atoke .tuombe Mungu ule mzozo usiingizwe kidini ,maana vita ya kidini ni kubwa kuliko vita ya aina yoyote hata sisi atutakuwa salama maana kuna waislam na wakristo kama huko.
wapalestina hawakutoka popote,ni wa hapohapo,hakuna history inayoonyesha exodus ya wapalestina toka sijui wapi,haohao wakazi wa hapo wali undergo changes
 
Ukitaka kujua uhalisia wa hilo nenda kwenye Vitabu takatifu vya mungu ndio suluhisho.
 
Kwahiyo wewe ni yahudi? Mpaka sasa hujatoa maelezo yoyote yanayoweza Kumshawishi msomaji asimame upande wako. Sana sana ni povu lako linalokufunua kuonyesha pumba zilivyosongana kichwani mwako. Hivi ikiwa hivyo ndivyo kwamba waarabu ni wapenda mapenzi ya jinsia moja wewe mang'ati ustaarabu wako ni upi? Je kule kuishi mapangoni kama mchwa na kukaa uchi wa mnyama kama hayawani ndiyo kinachokupa heshima mbele ya watu wa mataifa mengine? au unadhani ukijiita mkristo unakuwa umejivua uafrika wako? Nitafurahi siku nikisikia umetumia dini yako kuwakomboa wale nusu watu nusu wanyama waliopo babati, karatu, mbulu na kwingineko, kisha urudi hapa tuanze kujadili watu wa mataifa
Wewe ni mpaeestina? What are you doing here? Kama huna hoja unanyamaza. Kiwango chako cha kuelewa zero, huwezi kunipa jibu wewe. Acha wanaojua watatoa maelezo.
 
"Abraham was not a Jew nor yet a Christian; but he was true in Faith, and bowed his will to Allah (which is Islam), and he joined not gods with Allah" (Quran 3:67).

Say: "(Allah) speaketh the Truth: follow the religion of Abraham, the sane in faith; he was not of the Pagans" (Quran 3:95).

Say: "Verily, my Lord hath guided me to a way that is straight,- a religion of right,- the path (trod) by Abraham the true in Faith, and he (certainly) joined not gods with Allah" (Quran 6:161).

"Abraham was indeed a model, devoutly obedient to Allah, (and) true in Faith, and he joined not gods with Allah. He showed his gratitude for the favours of Allah, who chose him, and guided him to a Straight Way. And We gave him Good in this world, and he will be, in the Hereafter, in the ranks of the Righteous. So We have taught thee the inspired (Message), "Follow the ways of Abraham the True in Faith, and he joined not gods with Allah" (Quran 16:120-123).
Quran 10: 47. Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu, wala hawakudhulumiwa.


Angalia hii aya pia


Quran 14: 4. Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia. Basi Allah humuacha akapotea amtakaye, na akamwongoa amtakaye. Naye ni Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima.


S. 3:67 Shakir: Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.


Allah amesema kila Umma ulipewa Nabii na ujumbe "Kitabu" na Ibrahima alikuwa Muislam, SASA BASI.


1. Waislam, Nitajieni jina la kitabu ambacho Ibrahim alipewa na Allah?


2. Nileteeni ushahid wa aya kutoka hicho kitabu kuwa Ibrahim alisema Shahada.


3. Nitajieni jina la Ummah ambao Ibrahim alikuwa Nabii wake?


4. Allah anasema kuwa Ibrahim hakuwa Yahudi wa Mkristo, kama hayo madai ni kweli, KWANINI WAISLAM WANASEMA KUWA UKRISTO ULIANZISHWA NA PAULO, huku ALLAH ANAKIRI KUWA HATA WAKATI WA IBRAHIM KULIKUWA NA UKRISTO?


NOTE: Aya za Quran sina muda nazo maana hizo aya sio Kitabu ambacho Ibrahim aliteremshiwa kabla ya Quran.
 
Naam umesema kweli kabisa ila walio wengi miongoni mwa wakristo hawafahamu hili

TATIZO NYIE NI WAPAGANI

Waislamu wanadhani kuwa wao wanapoenda kuhiji, basi miezi hiyo wanajua kuwa Muhammad ndiye kainzisha kumbe ilikuwa miezi ya kipagani ambapo Muhammad kaicopy na kuipaste kwenye Uislamu, habari hizo tunazisoma kwenye kitabu cha MAISHA YA NABII MUHAMMAD UK 32 PARAGRAPH YA 2

“Makka-tangu kabla ya kuja UISLAMU, Ilikuwa ni mahali patakatifu kwa Waarabu wote, kila mwaka walikuwa wakija kuhiji, miezi hii hii wanayoitumia sasa waislamu katika kuhiji kwao..” (MWISHO WA KUNUKUU)

Kwa hivyo miezi wanayoitumia waislamu kuhiji ni miezi ya wapagani kwa hivyo Waislamu wao wameiboresha, kama ambavyo vitu vingi wameviboresha, tunaona Jengo la Al KAABA leo limekarabatiwa vizuri, limewekewa vioo, vigae, bara bara za LAMI, majengo mazuri yapo pembeni yake, Tunaona Waislamu wameboresha kuhiji na mashuka mawili BILA CHUPI NDANI, tofauti na waanzilishi ambao wao walikuwa wanatufu uchi bila nguo yo yote, Leo wao wameboresha zaidi kwa kuwaondoa wale masanamu na kumbakiza Allah pekee yake, yaani Hubal, tofauti na wenzao ambo walichanganya wote miungu wale na kuwaabudu pamoja.

UISLAMU HAUNA TOFAUTI NA MITANDAO MIWILI YA SIMU HAPA TANZANIA AIRTEL NA tiGO.

tiGO zamani ilijulikana kama BUZZ NI BOMBA, BAADAE IKABADILISHWA IKAITWA tiGo,
Lakini mitambo ni Ile ile, Minara ilikuwA ni ile ile. Wafanya kazi waliokuwapo kipindi hicho walibaki kuwa walewale na wakaongezeka wengine, hata Airtel nayo NI HIVYO hivyo, Kutoka Celtel kuja Zain na baade Airtel, MITAMBO na wafanya kazi wale wale, ofisi zile zile.
Ndivyo ilivyo kwenye Uislamu na upagani, kwani Uislamu ni UPAGANI ULIO BORESHWA.
 
Ni muhimu kutambua kuwa Uyahudi sio ukristo na hawakubaliani kwa kila kitu ktk imani, aidha ukristu ulianzia Antiokia na siyo Uyahudini ingawa wahubiri wengi wa makanisa ya kipentekoste wanapotosha umma kwa kuhusisha ukristo na Israel
 
Waislamu achen kung'ang'ania hekalu na mji wa watu

Hivi Suleman alijenga huo msikiti?

Maana tunajua alijenga hekalu

Huo msikiti umejengwa karne za juzi tu

Why waislamu mnalazimisha yerusalemu uwe mji wenu?

Neno israeli lina maana yake kibiblia , ,nyie kwenye koran hamjui hata maana ya Israeli ,mnaropoka tu

Mnadanganya watu eti ibrahimu alikuwa muslim

Wakat uislamu umekuja juzi juzi na muhamad ,before hakuna hata chembe ya history kuwa kuliwahi kuwepo na kitu kinaitwa islamu ,

Nyie nenden macca na madin huko mkacheze na majini na kurusha mawe

Umesoma kilichoandkwa? Au unapayuka tu. Jerusalem ni mji uliobeba imani kuu tatu Uislamu wakiamini kuwa Ibrahim alimzaa Ismail.
Wakirstu wakiamini Ibrahim alimzaa Isyaqa.
Wayahudi (Judaism) wakiamini Ibrahim ni baba yao na ndiye aliyeambiwa atoke alipo aende nchi ya ahadi nayo ni kunanii.
Yeye ni baba wa watoto wawili Ismail na Isaka nayeye hakuna sehemu iliyoandikwa kuwa alikuwa ni Mkirstu wala Muislamu ila aliabudu kwa kusujudu iweje wewe ujiaminishe kuwa Ibrahim anakuhusu wewe na wala siyo WAISLAM?.
WAISLAM wanahaki kama walivyo na haki Wakirstu na Wayahudi kwa kuwa Ibrahim ndiye aliyebeba Imani za hawa watu wote.
Kwa habari ya Hekaru soma vizuri post utaelewa mwandishi kasemaje na pia waarabu wanalitambua vipi na ndiyo maana huwezi kuona waislamu wanafanya dhihaka na maeneo hayo matakatifu Hekaru ni Nyumba takatifu kwa Imani zote ila siyo Kanisa.
Usipende kupayuka payuka tu mkuu.
Wakirstu wanahaki ya kuwa pale kama walivyo na haki waislam yakuwa pale.
 
Umesoma kilichoandkwa? Au unapayuka tu. Jerusalem ni mji uliobeba imani kuu tatu Uislamu wakiamini kuwa Ibrahim alimzaa Ismail.
Wakirstu wakiamini Ibrahim alimzaa Isyaqa.
Wayahudi (Judaism) wakiamini Ibrahim ni baba yao na ndiye aliyeambiwa atoke alipo aende nchi ya ahadi nayo ni kunanii.
Yeye ni baba wa watoto wawili Ismail na Isaka nayeye hakuna sehemu iliyoandikwa kuwa alikuwa ni Mkirstu wala Muislamu ila aliabudu kwa kusujudu iweje wewe ujiaminishe kuwa Ibrahim anakuhusu wewe na wala siyo WAISLAM?.
WAISLAM wanahaki kama walivyo na haki Wakirstu na Wayahudi kwa kuwa Ibrahim ndiye aliyebeba Imani za hawa watu wote.
Kwa habari ya Hekaru soma vizuri post utaelewa mwandishi kasemaje na pia waarabu wanalitambua vipi na ndiyo maana huwezi kuona waislamu wanafanya dhihaka na maeneo hayo matakatifu Hekaru ni Nyumba takatifu kwa Imani zote ila siyo Kanisa.
Usipende kupayuka payuka tu mkuu.
Wakirstu wanahaki ya kuwa pale kama walivyo na haki waislam yakuwa pale.


Waislamu wana haki gani katika huo mji?

Uislamu umekuja miaka ya 600 AD , Halafu mnadanganywa eti mna haki kwa IBRAHIMU,

Labda ibrahimu wa koran, maana IBRAHIMU WA BIBLIA AMBAYE ALIMZAA YAKOBO(ISRAEL) baba yake anaitwa mzee tera, ila ibrahimu wa koran ,baba yake haitwi tera

Suleman alijenga hapo hekalu. Na ndan ya hekalu kunakaa biblia takatifu, madhabahu za kuteketeza, mikate ya wonyesho, kuna sanduku la agano lenye AMRI KUMI

SASA HEKALU NA UISLAMU wapi na wapi?

Achen kujipendekeza kwa Ibrahimu,

Muhamad kaja na uislamu juzi juzi tu, halafu mnadanganywa ulikuwepo before
 
Back
Top Bottom