Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,479
Hili ndilo soko la kisasa ambalo Jerry Silaa amesema anataka kukumbukwa kwa kulijenga.
Nimejiuliza maswali kadhaa:
1. Hivi, wakati ulimwengu wa kisasa unahangaika na kusindika bidhaa na kuziuza kwenye malls kubwa zikiwa packed vizuri, sisi Watz bado tuna ndoto ya kujenga masoko ya kizamani ya kuuza mchele kwenye vibaba, nyanya za kuhesabu, ndizi za kuhesabu kila kitu kama lile soko la Kariakoo?
Kwanini wasingekuwa na mawazo ya kujenga shopping malls (kama ile ya Mlimani City) ili watu wapange pale kufanya biashara? Faida ambayo ataipata kwa hao wauza nyanya na mchele katika kodi ya pango ni ndogo kuliko ambayo angeipata kwa wafanya biashara wakubwa ambao wangeweka maduka makubwa ya biashara za kisasa hapo.
Sasa hii ndio mindset ya watu tunaowapa uongozi, wanawaza mambo ya kizamani tu. Mambo ya karne hii mpya hayapo kichwani mwao.
=========
Jerry Slaa kashea hii ramani ya soko la kisasa la Kisutu!
Baada ya kuvunjwa kwa baraza la halmashauri ya Manispaa ya Ilala July 6,2015 na aliyekuwa meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Slaa kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram amepost miongoni mwa kazi zitakazotekelezwa kwa wananchi ikiwemo huu ujenzi wa soko la kisutu ambalo muda si mrefu litaanza kufanyiwa maandalizi ya kujengwa.
Chanzo: MillardAyo
Nimejiuliza maswali kadhaa:
1. Hivi, wakati ulimwengu wa kisasa unahangaika na kusindika bidhaa na kuziuza kwenye malls kubwa zikiwa packed vizuri, sisi Watz bado tuna ndoto ya kujenga masoko ya kizamani ya kuuza mchele kwenye vibaba, nyanya za kuhesabu, ndizi za kuhesabu kila kitu kama lile soko la Kariakoo?
Kwanini wasingekuwa na mawazo ya kujenga shopping malls (kama ile ya Mlimani City) ili watu wapange pale kufanya biashara? Faida ambayo ataipata kwa hao wauza nyanya na mchele katika kodi ya pango ni ndogo kuliko ambayo angeipata kwa wafanya biashara wakubwa ambao wangeweka maduka makubwa ya biashara za kisasa hapo.
Sasa hii ndio mindset ya watu tunaowapa uongozi, wanawaza mambo ya kizamani tu. Mambo ya karne hii mpya hayapo kichwani mwao.
=========
Jerry Slaa kashea hii ramani ya soko la kisasa la Kisutu!
Baada ya kuvunjwa kwa baraza la halmashauri ya Manispaa ya Ilala July 6,2015 na aliyekuwa meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Slaa kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram amepost miongoni mwa kazi zitakazotekelezwa kwa wananchi ikiwemo huu ujenzi wa soko la kisutu ambalo muda si mrefu litaanza kufanyiwa maandalizi ya kujengwa.
Chanzo: MillardAyo