Huyo dogo Mwizi sana, sijui hata huko Gongo la Mboto wanamwamini vipi.Yeye akiwa waziri wa Michezo wa DARUSO (2004) na Waziri mkuu wa DARUSO wakati huo bwana Makene (Sasa ni paparazi)waliiba fedha za freshers ball (sherehe za kuwakalibisha first year), wakalazimishwa kujiudhuru katika katika nyadhifa zao., Sasa ndio kaibukia huko kwao Gongo la Mboto.Wahusika muwe macho na hiyo misaada, watu wenye tabia za Udokozi huwa siyo wa kuwaamini. Kama yuko humu JF akanushe kama hakujiudhuru kwa kashfa ya wizi
Nimemuona dogo tokea nikiwa Pugu Secondary, hadi UDSM, ni kijana anaependa kua kiongozi, na anajitahidi kwa kiasi kikubwa kutekeleza yale ambayo mnakua mmejipangia kwa pamoja. Kwa taswira ya nje ni mtenda kazi mzuri.. Sijawahi kuanza kuchunguza ndani yake kuna nini..ila pia, waswahili wanasema ukiona ngoma inalia sana.....................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.