Jerry Silaa: Magufuli acha ubabe!

Aisee sasa chuwaalbert kila mtu akianza kukumbushia mabaya ya mwenzake nani atapona?

Kuna kisa flani kwenye msaafu wa Biblia pale yule mwanamke aliyekamatwa kwa uzinzi, kisha akapelekwa mbele ya *Emmanuel°° YESU ili atoe hukumu, unajua nini kilichofuata..?
 
Sina hamu na foleni za dar nikikumbuka asubuhi na jioni nahisi kutapika
 
Wajameni huyu meya huyu namfahamu, kiukweli ni kati ya hazina kubwa chache za vichwa vya ukweli CCM ilivyonavyo japo nakiri kwenye suala hili ameshindwa kujieleza vyema.

Sehemu yuko right na sehemu yuko wrong na Magufuli yuko right kwa asilimia 100%.

Ni kweli Halmashauri zina mamlaka yake ambayo hayapaswi kuingiliwa na serikali kuu ikiwemo mabunge yake (mabaraza ya madiwani) ambayo yanamamlaka ya kisheria kujitungia bylaws zake. Hivyo mabango yapo kisheria na yana mikataba halali na halmashauri husika, hivyo meya yuko right, mabango hayo hayawezi kungolewa kwa agizo la siku 7 kama Magufuli alivyogiza!.

Alichofanya Magufuli ni kusisitiza matakwa ya kisheria ya utekelezaji wa sheria mpya ya road reserve ya mwaka 2007 ambayo inakwenda kinyume cha by laws za halmashauri, hivyo licha ya sheria hiyo kupitishwa, halmashauri zilipaswa kutengua bylaws zake na kuzioanisha na sheria hiyo mpya, kitu ambacho hakikufanyika na badala yake Halmashauri zimeendelea kurenew mikataba ya mabango kwa sheria za zamani ili kuendelea kuvuna pesa nene!.

Hata hivyo ukweli wa mambo, uinguliaji mkubwa wa road reserve sio mabango, ni vibanda vya biashara na wafanya biashara ndogondogo ambao hawako covered kwenye by laws za halmashauri.

Alichotakiwa kusema huyu meya ni kuamuru utekelezaji wa kuwaondoa hao wafanya biashara kwanza na kusema mchakato wa kuyaondoa mabango ufuate matwakwa ya kisheria ili halmashauri zisiingie kwenye migogoro ya kisheria na kesi za madai kufidia hasara ya kuvunja mabango ya watu yaliyokuwepo kabla ya sheria hiyo kupitishwa!.
Miaka 6 baadae
 
Naona kwenye jukwaa pendwa la siasa kuna new trend, nusu ya sred saa hii ni makaburi yanayofukuliwa kwa speed ya cheetah na mimi nasema hamna namna fukueni tu.
 
SIKU moja baada ya Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kuamuru mabango yaondolewe barabarani, Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa amemtaka waziri huyo kuacha ubabe katika utekelezaji wa majukumu yake badala yake atumie vikao rasmi kutoa matamko yake


Ndiyo maana amedoda awamu hii
 
Watu wamesikia Uteuzi unamkaribia Jerry ndio wanafukua makaburi

Tuna roho mbaya Sana
Acha masikhara sheikh, Magufuli ana takwimu mpaka ya samaki bahari ya hindi tunao wangapi ndio sembuse orodha ya kuwasomesha namba awasahau?

Tena haka ka Jerry Silaa kana dharau, malingo na majivuno,:kachawi na kashirikina na wacha afunzwe adabu naye asikie uchungu.

Kwa style hii hapa ndio huwa namkubali sana Magufuli.
 
Acha masikhara sheikh, Magufuli ana takwimu mpaka ya samaki bahari ya hindi tunao wangapi ndio sembuse orodha ya kuwasomesha namba awasahau?

Tena haka ka Jerry Silaa kana dharau, malingo na majivuno,:kachawi na kashirikina na wacha afunzwe adabu naye asikie uchungu.

Kwa style hii hapa ndio huwa namkubali sana Magufuli.
Kalitudharau sana wana Ukonga kipindi ni Kamea
 
Back
Top Bottom