Jerry Silaa kashindwa kazi?

Nitamuuliza: vipi kwenye hii picha ulifanya make up??

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 

nitamuuliza kwa nini kamkimbia mke wake tangu mwezi wa tano amehama nyumbani na hapeleki matumizi.
 
nitamuuliza kwa nini kamkimbia mke wake tangu mwezi wa tano amehama nyumbani na hapeleki matumizi.

Hana Jipya He is a failure leader!! Ndio tatizo la kuwapa watu vyeo wenye siasa Nyingi (Active in speaking failure in Implementing) Watu wanauza maandazi Pala Posta Mpya kunako Vumbi!! Michanga na Kila aina ya Uchafu!! Kisa Hawa ni wapigakura hawatakiwi wabugudhiwe!! Kura Ipi sasa?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…