Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,373
- 217,432
Mwaka 2015 baada ya wananchi kuunganisha nguvu na kumshinda Shetani , kwa mara ya kwanza tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi Jiji la DSM lilikombolewa kutoka kwenye mdomo wa Mamba .
Tangu mwaka huo hakuna mama lishe wala baba lishe aliyenyang'anywa sufuria la maharage au wali kwa kisingizio cha kipindupindu ama chochote , hali imekuwa shwari mno tofauti kabisa na kipindi kilichopita ambapo Jerry Silaa aliyekuwa Meya wa Ilala alisimamia kikamilifu dhuluma dhidi ya wajasiliamali wadogo , Katika kipindi cha uongozi wa UKAWA jijini hakuna mali yoyote ya jiji iliyouzwa kifisadi au kinyemela kama ilivyouzwa UDA chini ya Meya wa ccm Didas Masaburi .
Sasa ni dhahiri juhudi kubwa zinazofanywa za kununua madiwani zimelenga kurejesha utawala wa ccm jijini DSM , Ni bahati mbaya kwamba wakirudishwa hawa mambo yao yote yatarudi kama awali , amani iliyopo jijini itatoweka kama walivyoipoteza mwanzo kwa kugawana ugali waliowanyang'anya mama lishe Wajane , Dhuluma zote zitarejea kama awali .
Poleni Mama Lishe , Poleni wakazi wa Jiji .
Tangu mwaka huo hakuna mama lishe wala baba lishe aliyenyang'anywa sufuria la maharage au wali kwa kisingizio cha kipindupindu ama chochote , hali imekuwa shwari mno tofauti kabisa na kipindi kilichopita ambapo Jerry Silaa aliyekuwa Meya wa Ilala alisimamia kikamilifu dhuluma dhidi ya wajasiliamali wadogo , Katika kipindi cha uongozi wa UKAWA jijini hakuna mali yoyote ya jiji iliyouzwa kifisadi au kinyemela kama ilivyouzwa UDA chini ya Meya wa ccm Didas Masaburi .
Sasa ni dhahiri juhudi kubwa zinazofanywa za kununua madiwani zimelenga kurejesha utawala wa ccm jijini DSM , Ni bahati mbaya kwamba wakirudishwa hawa mambo yao yote yatarudi kama awali , amani iliyopo jijini itatoweka kama walivyoipoteza mwanzo kwa kugawana ugali waliowanyang'anya mama lishe Wajane , Dhuluma zote zitarejea kama awali .
Poleni Mama Lishe , Poleni wakazi wa Jiji .