Jerry Silaa: CAG amempongeza Rais Samia

Jerry Silaa: CAG amempongeza Rais Samia

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,397
Reaction score
14,505
Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa akizungumza na Clouds FM amesema

"Ukisikiliza ile ripoti ya CAG utaona Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Serikali amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza ile Ibara ya 143, Ibara ndogo ya 4 ya Katiba ya kupokea taarifa na kufikisha bungeni. Ni suala la katiba. Ambalo pengine Serikali ingeona kuna tatizo kubwa ingetafuta njia yoyote ya kuweza kuitafutia sababu... Lakini Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akifanya hivyo kwa miaka yote Minne akiwa kwenye uongozi wake"

 
Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa akizungumza na Clouds FM amesema

"Ukisikiliza ile ripoti ya CAG utaona Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Serikali amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza ile Ibara ya 143, Ibara ndogo ya 4 ya Katiba ya kupokea taarifa na kufikisha bungeni. Ni suala la katiba. Ambalo pengine Serikali ingeona kuna tatizo kubwa ingetafuta njia yoyote ya kuweza kuitafutia sababu... Lakini Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akifanya hivyo kwa miaka yote Minne akiwa kwenye uongozi wake"

 

Attachments

  • 1743139078744.png
    1743139078744.png
    308.6 KB · Views: 18
  • 1742141954678.jpeg
    1742141954678.jpeg
    61.7 KB · Views: 19
Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa akizungumza na Clouds FM amesema

"Ukisikiliza ile ripoti ya CAG utaona Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Serikali amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza ile Ibara ya 143, Ibara ndogo ya 4 ya Katiba ya kupokea taarifa na kufikisha bungeni. Ni suala la katiba. Ambalo pengine Serikali ingeona kuna tatizo kubwa ingetafuta njia yoyote ya kuweza kuitafutia sababu... Lakini Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akifanya hivyo kwa miaka yote Minne akiwa kwenye uongozi wake"

Hivi ni kwanini mnamfanya huyu mama kama mtoto mdogo asiyekuwa na fikra?

Kwamba CAG kampongeza Rais!? Real??

Hebu jameni tumpeni Rais sifa na heshima anayostahili.
 
Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa akizungumza na Clouds FM amesema

"Ukisikiliza ile ripoti ya CAG utaona Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Serikali amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza ile Ibara ya 143, Ibara ndogo ya 4 ya Katiba ya kupokea taarifa na kufikisha bungeni. Ni suala la katiba. Ambalo pengine Serikali ingeona kuna tatizo kubwa ingetafuta njia yoyote ya kuweza kuitafutia sababu... Lakini Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akifanya hivyo kwa miaka yote Minne akiwa kwenye uongozi wake"

Mambo aliyoongea huyu ndugu wa tom yanatia kinyaa...
 
Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa akizungumza na Clouds FM amesema

"Ukisikiliza ile ripoti ya CAG utaona Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Serikali amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza ile Ibara ya 143, Ibara ndogo ya 4 ya Katiba ya kupokea taarifa na kufikisha bungeni. Ni suala la katiba. Ambalo pengine Serikali ingeona kuna tatizo kubwa ingetafuta njia yoyote ya kuweza kuitafutia sababu... Lakini Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akifanya hivyo kwa miaka yote Minne akiwa kwenye uongozi wake"

Chawa pro max aliyevimbiwa kodi za wananchi ili aendelee kupewa nafasi ya kutafuna tena na tena
 
Back
Top Bottom