Mlimilavangi
Member
- Nov 11, 2010
- 8
- 0
Hatimaye manispaa ya ilala imepata meya mpya ambaye ni ndugu Jerry Silaa, amewashinda Abuu Juma, aliyekuwa meya na Bisalala Salum, taarifa zaidi baadae
Hatimaye manispaa ya ilala imepata meya mpya ambaye ni ndugu Jerry Silaa, amewashinda Abuu Juma, aliyekuwa meya na Bisalala Salum, taarifa zaidi baadae
Hatimaye manispaa ya ilala imepata meya mpya ambaye ni ndugu Jerry Silaa, amewashinda Abuu Juma, aliyekuwa meya na Bisalala Salum, taarifa zaidi baadae
Hivi ni kweli kashinda? hii inaonekana ni post yako ya kwanza ila unaonekana ni mzoefu humu ndani. usikute watuingiza chaka ndugu.
Nilijua tu, pamoja na kuwa ni Msomi lakini ni Mwanamtandao huyo nyuma yake kuna watu
Mlimilavangi....kwanza nikukaribishe homeboy! kamwene bwana; sasa uoni kuwa mwanamtamtandao kutaharibu haiba mnayo dai kuwa anayo huyu bwana?