Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,876
Kamati ya Maadili ya Bunge ilimuita mbunge Jerry Silaa kujibu tuhuma za kauli yake kuwa mishahara ya wabunge haikatwi kodi ambayo imedaiwa kuwa ni uongo
Jerry Silaa alitoa kauli hiyo akiongea na wananchi jimbo la Ukonga, Jijini Dar es Salaam
Silaa alisema vya Mwali vikiliwa na vya kungwi viliwe
Jerry Silaa alitoa kauli hiyo akiongea na wananchi jimbo la Ukonga, Jijini Dar es Salaam
Silaa alisema vya Mwali vikiliwa na vya kungwi viliwe