Jerry Muro: Utoto huu wa mbunge Nassari na Lema, Watanzania tuwe wakali. Tutapoteza taifa

Hivi kuna ulazima gani wa kuleta hapa hizi post za Jerry hapa jf?? Kwanini zisibaki hukohuko anakoziandika??
 
huyo muro, kuna kanyadhifa anataman apewe, mana si kwa kujpendekeza huko, jaman unemployment ni shida wakuu, inafanya watu wawe watumwa
 
Jerry Muro....
Napenda nichukue nafasi hii kukushauri yafuatayo.
Kwanza naomba utambue kuwa...
-uliwahi kuwa kioo changu{yaani nilikuwa simalizi siku bila kujua siku hiyo umefanya nini}ukiwa mtangazaji wa ITV kabla ya ile scandal yako ya Rushwa na ulipoonekana unatembeaga na mapingu kama askari.
_Nadhani jamii zima ilikukubali sana miaka ile. Ulipoanza tu kujipendekeza kwa mabwana ndipo jamii ilipoanza kuwa na wasiwasi na wewe.
1. Je ukiacha kiherehere unafikiri hutoonekana?
2. Je nyumbani hakuna wakubwa ili wakupe maujanja
-Nakushauri tena... tulia mpaka 2020 bila kujihusisha na jambo lolote mitandaoni halafu ukirudi uje kiutu uzima. Sasahivi nyota yako imekuwa ya fisi. .. nahujielewi unaendelea kuichafua.... jamii haikutaki ndugu yangu...
 
Kwa kauli zake ni dhahiri anatafuta huruma ya mkuu wa katika utawala wake! Ila kumbuka Jerry Muro kauli kama hizi zilisahi kuwafunga watu jela maisha!hata ukikumbuka mauaji ya kimbari Rwanda baada ya kudhibiti sheria ilichukua mkondo wake na watu wapo jela kwa sababu ndogo yakusema neno "Kanyaga hao mende"
Hivyo kwa watanzania tunamjua Jerry msipoteze muda!Tumbo linamsokota!
 
Huyu Jerry Muro naona thinking capacity yake inashuka kwa kasi and he is now a great sinker from a great thinker.... waliohusika kwa ushahidi huu tusubiri kuona
Washamjua Sizonje ukitaka madaraka ktk nchi yake jitoe akili....Jerry muro keshapata darasa kutoka kwa bashite....mnachoniudhi kumletea Uzi humu mnampa kiki ni wakupotezea tu...
 
Nilichokiona cha maana ni kuunganisha 'DOTS' maneno ya Jerry Muro na kujeruhiwa kwa Risasi kwa TL.
{"Unatafuta huruma ya wananchi. Unataka sinema hii ndio ikupe ushindi?
Nitashangaa sana kama vyombo vya dola vitaachia hili jambo lipite. Zipo nchi zilizofanya mageuzi makubwa ya uchumi na maendeleo kwa ujumla ililazimu watu kama hawa wapotezwe kabisa, maana kuendelea kupoteza muda na watu wa aina hii ni sawa na kuchezea shilingi chooni."}

Walio mjeruhi TL mmojawapo ni Jerry Murro,na huyu alitakiwa kuwa polisi kwa sasa hapa ni kulingana na maneno yake mwenyewe,kwamba wanayokosoa au kupinga serikali basi haki yao ni kupotezwa.


 
Hakuna point zaidi ya uchochezi tu, we umekuwa mpelelezi hadi povu lote hilo likutoke. Hata, kama mpelelezi basi fanya kazinyaki kwa weledi na peleka taarifa zako na malalamiko kwa polisi na sio kujifanya wewe ndio muhukumu wa kujua kila kitu. Hovyo...!
 
Wankurahuu masikini na hasara hivi ile kesi yake ya kukutwa na pingu imelegezwa sasa anajikomba
 
Kwa kauli zake ni dhahiri anatafuta huruma ya mkuu wa katika utawala wake! Ila kumbuka Jerry Muro kauli kama hizi zilisahi kuwafunga watu jela maisha!hata ukikumbuka mauaji ya kimbari Rwanda baada ya kudhibiti sheria ilichukua mkondo wake na watu wapo jela kwa sababu ndogo yakusema neno "Kanyaga hao mende"
Hivyo kwa watanzania tunamjua Jerry msipoteze muda!Tumbo linamsokota!

Baada ya kuachana na politics za michezo naona Jerry Muro actively anataka kuwa msemaji wa CCM
 
Back
Top Bottom