Jerry Muro: TEF ni kikundi cha watu wanne

Jerry Muro: TEF ni kikundi cha watu wanne

Hujue jerry muro wewe no mwandish humu namo kuna waandish sasa ebu pitia tena taarifa yako ualafu utuambie theme yako na Heading alafu utupe mrejesho. Unaikosoa TEF unamsifia makonda au unatupa mrejesho wa tukio la makonda na clouds. Naona unachanganya mada ebu rudia kuwachambua TEF ntakuelewa maana naona anaanza moja kuesabu then unafuatia 7

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ni Meena,hakuna asiejua kuwa anatumika na chadema japo alitimuliwa FM,lakini bado anatumika na chama chake cha moyoni kuyumbisha jukwaa kwa maslahi ya kisiasa
 
ETI HAYA YAMEANDIKWA NA MWANDISHI WA HABARI MWANDAMIZI, MAAJABU!

MPANGILIO MBOVU
HOJA DHAIFU.. KIUFUPI NI UTUMBO

TAFAKARI UANDIKE UPYA URUDI HAPA...

MKAPA ALIKUWA SAHIHI ALIVYOWAITA WAANDISH UCHWARA
 
ETI HAYA YAMEANDIKWA NA MWANDISHI WA HABARI MWANDAMIZI, MAAJABU!

MPANGILIO MBOVU
HOJA DHAIFU.. KIUFUPI NI UTUMBO

TAFAKARI UANDIKE UPYA URUDI HAPA...

MKAPA ALIKUWA SAHIHI ALIVYOWAITA WAANDISH UCHWARA
kwani tutayarisha gazeti humu?jadili content bana
 
Muro anataka atokee huku manaake saizi hana pakutokea...maskini jerry
 
Ni ukweli ulio wazi kuwa namna ambavyo TEF wali shughulikia jambo hili limezua maswali mengi sana. Kwanza hawakuwa tayari kufanya press conference coz hawakujua nini wanakuja kufanya. Ndiyo maana badala ya kutoa taarifa wadau walianza kubishana.
Mdhaifu haya ya TEF kutumika kama utetezi kwa Bashite ni udhaifu mkubwa zaidi kwa mtoa mada.
 
Waandishi wa Habari wa Tanzania wote ni makanjanja tu- Benjamin W. Mkapa, Mwandishi wa Habari Mstaafu!
 
Huyu nilimdharau tangu alipokuwa anaropoka pale Yanga
 
JIWE LIMERUSHWA GIZANI HAIJULIKANI LITAMPATA NANI.CHOMBO CHAPIGWA NA TUFANI JE KITAFIKA NG'AMBO SALAMA?
 
JIWE LIMERUSHWA GIZANI HAIJULIKANI LITAMPATA NANI.CHOMBO CHAPIGWA NA TUFANI JE KITAFIKA NG'AMBO SALAMA?
 
Back
Top Bottom