Jerry Muro: TEF ni kikundi cha watu wanne

Jerry Muro: TEF ni kikundi cha watu wanne

Muro acha unafiki kaka ikiwa blue sema blue msema kweli ni mpenz wa Mungu. ila naona umetumwa hujaongea point kabisa muro sijaona ulichokiandika zaidi ya kujikomba kwa makonda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jerry Muro ni kibaraka wa Bashite..
Sasa msafishe na kashfa ya wizi wa cheti na jina feki.
Njaa mbaya sana Jerry pole sana tafuta kazi wewe si una carrier yako? huwa nakushangaa sana wewe mchaga wa wapi unajikomba mbona wenzako ni chapa kazi haswa? Huyo Bashite ni nungu nungu mwishowe atakurushia miiba ile ni gunia la misumari kaa mbali nalo
 
Huyu naye anatafuta kiki ya kuingia kwenye siasa.. Si aseme tu kuwa anataka baadaye agombee Ubunge wa Ubungo..
 
Huyu ni mmoja wa waandishi wa habari waandamizi, inasikitisha sana aisee..
Tanzania ni janga kila mahali;
Siasa ni janga.
Uchumi ni janga.
Michezo ni janga.
Huduma za afya na kijamii ni janga.
Elimu ni janga.
Viongozi ni majanga.
Almost kila kitu kwetu ni zero, sijui tunaweza kufanikiwa kwenye kitu gani sisi watanzania.
 
Muro nae toka atolewe yanga anatafuta ugali kwa nguvu sana
 
Thank muro kwa kutupa ubuyu wa TEF nimekuelewa sana mkuu.
Hao TEF ni njaa zinawasumbua so usipagawe nao sanaa maana hii hali ya mjomba ngumu sana pia hata wewe mwenyewe unaipata fresh fresh ya mwaka
 
umezunguruka weee kumbe kuna kitu ulikuwa unataka kupamba....
 
Back
Top Bottom