Wabongo kwa kushobokea na kukuza majina ya watu bwana hawajambo! Kijana mwenyewe hana lolote zaidi ya nyodo na ubishoo. Pole zao hao watako mchagua kuwa mbunge wao.
Moja ya sifa za uongozi (leadership skills) ni kuwa mtu mnyenyekevu, msikivu, mwenye maono na hekima ya kufikiri na kunena vitu ambavyo kijana hana. Mtu mwenye kunena kwa sifa, ntambo na majivuno hana sifaya kuwa kiongozi, hata kama ni kuchaguliwa kuwa mjumbe wa nyumba kumi. Na niliyaona hayo wakati ule ameingia matatani na jeshi polisi, japo binafsi nilimuombea sana aweze kuchomoka salama kwenye kilindi cha uonevu ule na aendelee na maisha yake mengine.
Mengine nawaachia wengine. Mimi nimemaliza.