Jerry Muro kugombea ubunge uchaguzi mkuu

Jerry Muro kugombea ubunge uchaguzi mkuu

Kama kweli tunataka viongozi wa kutuwakilisha na kutusemea huyu jamaa anafaa sana, sujui ni ndoto zipu uwa sahihi? maana maneno hayo ameyatoa usiku na si mchana

jerry naona ume amua kujipa promo mwenyewe....tatizo kubwa la huyu jamaa ni misifa isiyo kua na mpango,but anajua kujenga hoja na kujieleza.
 
Daaaa huyu dogo niliona jana,anasema kna kwamba kweli anataka kuanza kujihusisha na siasa!!!,hakusema moja kwa kwa moja but inaonesha kweli ana ndoto hzoooo!!!
 
Akisema agombee kupitia cdm wataimuibulia tena zile kes zake,bt akipitia ccm watazipotezea kabisa!!!
 
Kweli anahaki kama mtz mwingine, ataweza kuleta mabadiliko, historia yake inaonesha taa fulani hivi za matumaini
 
WatZ Banah ..mtu akishajua kuongea Either kuongra kwa Jazba ,na kuonekana mara mbili tatu kwenye vyombo vya Habari basi tayarinni kipimo tosha kwa wananchi kumpa Madaraka .

Watu hawana kabisa uchungu na Kura zao . Wanakurupuka na kutumia fact za kijinga kufanya maamuzi ya nani anaweza kuwa kiongozi wao.

Sina Maaana ya kumpinga Jerry ....ila hata hawa wabaosema anafaaa , na uhakika Asilmia 80% wamekurupuka kisa tu wamemuona Jerry Muro siku mbili tatu akihit kwnye vyombo vya hanari na hoja Ya Loliondo ,Maswal ya Yanga na Juzi mahojiano ya kwenye Clouds 360 pamoja na Mkasi jana ..

Tayari watu washaconclude Jerry anafaa kuwa Mbunge .

Tuache kukurupuka watz .. tufanyeni Tathmini deep kabla ya kurusha Kura .

Mwisho wake Ni kupeleka wabunge ambao kwanza Hawana uchungu na nchi zaidi ya Kutafuta maslahi . .. na wengine Mizigo tu .
 
Kupitia Chama Gani? Kama sio kupitia CHADEMA bac hana uchungu na nchi ila anatuzuga tu
 
WatZ Banah ..mtu akishajua kuongea Either kuongra kwa Jazba ,na kuonekana mara mbili tatu kwenye vyombo vya Habari basi tayarinni kipimo tosha kwa wananchi kumpa Madaraka .

Watu hawana kabisa uchungu na Kura zao . Wanakurupuka na kutumia fact za kijinga kufanya maamuzi ya nani anaweza kuwa kiongozi wao.

Sina Maaana ya kumpinga Jerry ....ila hata hawa wabaosema anafaaa , na uhakika Asilmia 80% wamekurupuka kisa tu wamemuona Jerry Muro siku mbili tatu akihit kwnye vyombo vya hanari na hoja Ya Loliondo ,Maswal ya Yanga na Juzi mahojiano ya kwenye Clouds 360 pamoja na Mkasi jana ..

Tayari watu washaconclude Jerry anafaa kuwa Mbunge .

Tuache kukurupuka watz .. tufanyeni Tathmini deep kabla ya kurusha Kura .

Mwisho wake Ni kupeleka wabunge ambao kwanza Hawana uchungu na nchi zaidi ya Kutafuta maslahi . .. na wengine Mizigo tu .

Mkuu inaoneka kunakitucha ziada unatafuta au unakijua, kwani wewe ulitaka aonekane marangapi? au unapimaje weledi wa Kiongozi bora.
 
Ndoa imemshinda ataweza Ubunge? yeye abaki kula majimama tu a.k.a Mariooo

Inaonyesha unamjuwa sana uyu jamaa, au wewe ndiye mkewake. Umejuwaje ndoa imemshinda au chuki binafsi!! aujazuiwa kugombea kama unaona unauwezo na wewe uko uhuru kutangaza nia, usijaribu kumsema mtu kwa ushabiki au chuki binafsi.
 
Hafai kabisa waulize wana yanga mikoani Hawaioni kabisa kwenye luninga kwa sababu yake shame kusema utampa kura yako kwa lipi hasa
 
Akihojiwa katika kipindi cha Mkasi tv bw. Muro amesema amesema amefanya mengi katika jamii hivyo haoni sababu ya yeye kutokufanya hivyo na kuongeza kuwa tusichague mtu kwa sababu tu ana mapesa yake lakini tuangalie mtu huyo ameisaidiaje jamii yake.



kwa upande wangu huyu jamaa kanivutia sana anajua kujenga hoja hivyo kama atagombea katika jimbo langu nitampigia kura

.... sio ajabu atakuwa ni miongoni mwa viongozi waliopitia michezo kujipatia umaarufu na kuingia kwenye siasa..... wapo wengi wamepita simba na yanga kama daraja na kuibukia kwenye siasa.... ki ukweli sio wana michezo bali wanatumia daraja la michezo kujiingiza katika siasa....
 
Kugombea watagombea wengi tu mbona..

Ila unagombe ili uwafanyie nn wanajamii yako?
 
Sio lazima awe CCM kwa kupata kazi Yanga,...fikra za kimapinduzi ni tofauti na fikra za kutafuta ajira! ...tusisahau kuwa Jerry, [mara alipotoka jela] alishajitambulisha kuwa mwanamapinduzi kupambana na policcm, na kukaribishwa ktk mkutano wa BAVICHA uliofanyika Morogoro [nadhani mwaka 2012 au 2013], na alisalimia kwa salamu za V na peeoples....!

...yeyote aliye na data atupe uhakika! Jerry anaweza kuwa kijana wa CDM na sio Magamba!

usiwaamini sana vijana style ya muro wanaopima upepo unaendaje, kama yeye jasiri angesema yupo upanda gani, mbona pro kafanya hivyo na bado anapeta kwenye anga za mziki wa kizazi kipya, watu jamii ya muro wapesi sana huwa wana price tag
 
Ndoa imemshinda ataweza Ubunge? yeye abaki kula majimama tu a.k.a Mariooo

iyo sasa ishu binfsi cc hatuangalii maisha ya mtu nyumbani kwake kila nyumba inamatatizo mbona babako na mamako wsligombana hukutuambia
 
Back
Top Bottom