Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,530
- 43,919
Msemaji wa Yanga. Teh teh tehAmeifanyia nini jamii?
Msemaji wa Yanga. Teh teh tehAmeifanyia nini jamii?
Lini Ameacha Tabia Yake Ya Kulewa Pombe Chakari Na Kuwabandua Hovyo Wahudumu Wa Ukumbi Wa Maembe Bustani Kama Dada Zainab?
kwa upande wangu huyu jamaa kanivutia sana anajua kujenga hoja hivyo kama atagombea katika jimbo langu nitampigia kura
You are very geneous!Sijui kwa nini
kuna kitu about him kinaniboa mno
nataka sana kumuamini but nashindwa
chama gani ?
hajataja chama, lakini kwa jinsi alivyokuwa akiongea! ngoma iko upinzani
Mimi ni mwanachama hai wa CHADEMA hata akigombea kupitia ccm nitampigia kura yangu kama itakuwa jimboni kwangu
Naweza kukuunga mkono maana YANGA, CCM na hawa ndugu zetu katika imani huwa na mahusiano yasiyo na afya hasa katika vipindi vingi vya uchaguzi..
Wakishalizwa na Serikali mbio kutoa matamko yasiyokuwa na kichwa wala miguu na wala hayatekelezeki
Ukitaka uvuliwe nguo na kujulikana kuwa Mwanasiasa, haya sasa Jerry Muro pole sanaLini Ameacha Tabia Yake Ya Kulewa Pombe Chakari Na Kuwabandua Hovyo Wahudumu Wa Ukumbi Wa Maembe Bustani Kama Dada Zainab?
Polisi bado wana usongo naye....
Ukawa na wao sasa huyu mropokaji mnampeleka jimbo gan...? Prof. J-Mikumi, Afande Sele-Moro mjin
Mbona 2005 tulimchagua JK kuwa Rais sababu ni Hsndsome😀Huyu ni mweupe mno kichwani.
Shida ya wabongo mnaangalia ametingaje nywele na manukato mtu anayotumia.
Ataje chama gani?
Lini Ameacha Tabia Yake Ya Kulewa Pombe Chakari Na Kuwabandua Hovyo Wahudumu Wa Ukumbi Wa Maembe Bustani Kama Dada Zainab?
Wabongo kwa kushobokea na kukuza majina ya watu bwana hawajambo! Kijana mwenyewe hana lolote zaidi ya nyodo na ubishoo. Pole zao hao watako mchagua kuwa mbunge wao.
Moja ya sifa za uongozi (leadership skills) ni kuwa mtu mnyenyekevu, msikivu, mwenye maono na hekima ya kufikiri na kunena vitu ambavyo kijana hana. Mtu mwenye kunena kwa sifa, ntambo na majivuno hana sifaya kuwa kiongozi, hata kama ni kuchaguliwa kuwa mjumbe wa nyumba kumi. Na niliyaona hayo wakati ule ameingia matatani na jeshi polisi, japo binafsi nilimuombea sana aweze kuchomoka salama kwenye kilindi cha uonevu ule na aendelee na maisha yake mengine.
Mengine nawaachia wengine. Mimi nimemaliza.
unasema wewe ni CHADEMA wakati hata kadi huna