Hali tete endelee kujiregeza tu wanaweza kujinasa.Duu
Kwa nguvu kubwaMkate unasakwa.
jamaa we ni noma ila Hanma chochote ni njaa tu zinakusumbua
Walimu ina galasa alikosa nafasi CCM ni jokeryHivi jerry muro Kahama Lini CHADEMA?
Muro mimi namkubali sababu yeye ni moto habari mara vuguvugu no. Kujiamini ni moja ya hatua kupata mafanikio.Alafu mkavuuu hana hata aibu njaa mbaya sana akiwa DC huyu kesho yake atatimuliwa kwa kupenda masifa
kwahiyo unataka kutuambia nini?Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni,mnakumbuka huyu jamaa aliwapiga picha kwa siri askari wa barabarani wala rushwa kitendo ambacho kilimng'arimu sana ukizingatia awamu ya nne haikujali sana wala rushwa.
Pia aliwahi kukamatwa akiwa na pingu ilhali yeye siyo mgambo!!Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni,mnakumbuka huyu jamaa aliwapiga picha kwa siri askari wa barabarani wala rushwa kitendo ambacho kilimng'arimu sana ukizingatia awamu ya nne haikujali sana wala rushwa.