n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
Kipindi kinaendelea TBC1, amewaonyesha 'live' askari wa Makambako - Iringa wanavyochukua rushwa na akasema hiyo ni awamu ya kwanza na watanzania wasubiri awamu ya pili, akiendelea kuwaanika wanaofanya hivi, je watamwacha aendelee kuwaumbua?
Safi sana Jerry!
Safi sana Jerry!