Joshua kibale
Senior Member
- May 9, 2017
- 111
- 25
Si mganga njaa bwana. Ni mtu muhimu sanaHana cheo chochote bali ni mganga njaa tu
Si mganga njaa bwana. Ni mtu muhimu sanaHana cheo chochote bali ni mganga njaa tu
Kwa tunao jua kazi yake tunajua nini anafanyaSi mganga njaa bwana. Ni mtu muhimu sana
Izi ni pidgins or Creole?You Uzi isojekuea hata mwenye anatuuliza I'll tumjafili spate kiki
Utakuwa hiyo mikono yako ilibemendwaYou Uzi isojekuea hata mwenye anatuuliza I'll tumjafili spate kiki
Uliowataja wote ni vichwa sio kama nyie manyumbu.cheo chake ni kama cha akina Yericko, Malisa na makarai wengine ndani ya cdm
Si nilisikia VIROBA vimepigwa marufuku?You Uzi isojekuea hata mwenye anatuuliza I'll tumjafili spate kiki
[emoji23] [emoji23] [emoji23]You Uzi isojekuea hata mwenye anatuuliza I'll tumjafili spate kiki
Hapana, kanunua simu mpya sasa haja-off auto correction...alikuwa anakata gogo wakat wa kuandika
AmenichanganyaMmmmh kichina hiki
[emoji23] [emoji23]Mmmmh kichina hiki
Ndumila kuwili mwenzakoI like him
Upo sahihi mukubwaHuwa anajifanya yuko very smart na mbaya sana mtu kujiona you are very smart halafu kumbe sio hivyo. kwangu ni katika watu ambao hawajielewi kabisa na alipata sifa za kijinga wakati yuko ITV eti kuwapiga picha Traffic tu kupokea rushwa akajiona kama kafanya unique program, sasa nani asiyejuwa Traffic wanapokea rushwa. toka wakati huo he is acting clever lakini ukweli ni katika watu wasiojielewa kabisa na wala hastahili kupata kick.