Jerry Muro ana cheo gani ndani ya UVCCM?

Jerry Muro ana cheo gani ndani ya UVCCM?

Anajitambua na siyo karai.

Angalia tu comments za walioshikiliwa akili hapa ili kumtofautisha na yeye.

Walioshikiliwa akili wanaongoza kwa comments za matusi, viroja na siyo hoja. Soma tu comments za mashabiki wa upande wa pili kujua uwezo wa akili zao.

Ukweli ni kwamba hoja zake zinajibiwa na matusi sasa hapo nani aliyeishiwa
 
Anajitambua na siyo karai.

Angalia tu comments za walioshikiliwa akili hapa ili kumtofautisha na yeye.

Walioshikiliwa akili wanaongoza kwa comments za matusi, viroja na siyo hoja. Soma tu comments za mashabiki wa upande wa pili kujua uwezo wa akili zao.

Ukweli ni kwamba hoja zake zinajibiwa na matusi sasa hapo nani aliyeishiwa
Umeishiwa wewe na lichama chakavu
 
Hata kama hana cheo chochote officially, sidhani kama zile ''press conferences'' anazofanya huwa anaziandaa kwa pesa kutoka kwenye wallet yake iliyofulia. Someone must be behind all those moves.
Of cause
 
Back
Top Bottom