BabM
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 1,166
- 956
Ina maana alijisahaulisha maneno aliyoropoka wakati Manji ametuhumiwa madawa ya kuchovywa!?Nasikia siku za karibuni alimfata Manji eti aone la kufanya kwake ila alifukuzwa kama mbwa koko
Zamani sana hii lugha!!Chakubanga
Kimeulizwa cheo chake ndani ya fisiemuVipi angekuwa CHADEMA then anaiponda CCM?
Anapambana na hali yakeJerry Murro hana mamlaka yeyoye.Ni garasa
Kesha twanga balimi huyoDuh!! Mkuu umetisha, nimependa uandishi wako.
NonsenseVipi angekuwa CHADEMA then anaiponda CCM?
Kwanza tuambie huyo ni nani?Wadau na viongozi Wa UVCCM naomba kujua Bw.Jerry MURO ana cheo gani ndani ya UVCCM?
Hawezi kujibu inavyotakiwa maana akili zake kaziwekea rehani LumumbaKimeulizwa cheo chake ndani ya fisiemu
Hii lugha ni mpya aiseeYou Uzi isojekuea hata mwenye anatuuliza I'll tumjafili spate kiki
Kimeulizwa cheo chake ndani ya fisiemu
Lugha ya mataifa....[emoji1] [emoji1] [emoji1]Lugha gani hii?
Aisee unaweza kuelewa umeandika nini?You Uzi isojekuea hata mwenye anatuuliza I'll tumjafili spate kiki