Aza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2010
- 1,700
- 226
safi sana jerry,komaa nao wenye ujasiri kama wewe ni wachache sana Tz
wengi ni maneno tuuu vitendo hakuna,na wengi wamekaa kiccm-ccm tu (kijambazi)
ndo mana mtu kama jerry anakatishwa tamaa na watu km nyie mnaomshangaa
ata akipotezwa damu yake na wachache wenye udhubutu km wake itaikomboa Tz dhidi ya dhulma hii
sasa hebu fatilieni ili suala la sticker za "nenda kwa usalama" ndio mjue ushenzy uliopo.....
dah ivi shida ya network voda ni nini hasa
wengi ni maneno tuuu vitendo hakuna,na wengi wamekaa kiccm-ccm tu (kijambazi)
ndo mana mtu kama jerry anakatishwa tamaa na watu km nyie mnaomshangaa
ata akipotezwa damu yake na wachache wenye udhubutu km wake itaikomboa Tz dhidi ya dhulma hii
sasa hebu fatilieni ili suala la sticker za "nenda kwa usalama" ndio mjue ushenzy uliopo.....
dah ivi shida ya network voda ni nini hasa