kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
mwanafunzi aliyetoroka kwao kutokana na kupata ziro katika matokeo yake ya kidato cha nne arejea nyumbnai kwao jana.
Jennifer alitoweka kwao Januari 30 mwaka huu kwa hofu ya kupewa adhabu na wazazi wake kutokana na kupata ziro katika mitihani yake ya kumaliza elimu ya Sekondari.
Kwa mujibu wa chanzo cha habari hii kilidai kuwa, Jennifer alirejea kwao hapo majira ya saa 3 usiku, akiwa na hofu kubwa kutokana na kile alichokifanya.
Ilidaiwa kuwa Jennifer aliongozana na mwanamke mmoja ambaye jina lake halikupatikana mara moja alioyedaiwa kuwa alikuwa amemuhifadhi nyumbani kwake na alikuja hapo kumuombea msamaha kwa wazazi wake
Hata hivyo ilidaiwa kuwa Jennifer alijieleza kuwa alikuwa nyumbani kwa mama huyo kwa lengo la kumuhifadhi kwa kuwa alikuwa akiwahofia wazazi wake.
Imedaiwa kuwa mwanamke huyo alikiri kuwa Jennifer alikuwa nyumbani kwake alimuomba akae kwa muda nyumbani kwake kwa hofu ya wazazi wake.Wazazi wapokee bila ya kumuliza maswali ya kumtisha ili asikimbie tena.ANGALIZO Msimcheke kupata ziro bali iangaliwe kupata ziro nani alaumiwe mwanafunzi au ccm?maana matokeo yalikua mabaya sana mwaka jana.
Jennifer alitoweka kwao Januari 30 mwaka huu kwa hofu ya kupewa adhabu na wazazi wake kutokana na kupata ziro katika mitihani yake ya kumaliza elimu ya Sekondari.
Kwa mujibu wa chanzo cha habari hii kilidai kuwa, Jennifer alirejea kwao hapo majira ya saa 3 usiku, akiwa na hofu kubwa kutokana na kile alichokifanya.
Ilidaiwa kuwa Jennifer aliongozana na mwanamke mmoja ambaye jina lake halikupatikana mara moja alioyedaiwa kuwa alikuwa amemuhifadhi nyumbani kwake na alikuja hapo kumuombea msamaha kwa wazazi wake
Hata hivyo ilidaiwa kuwa Jennifer alijieleza kuwa alikuwa nyumbani kwa mama huyo kwa lengo la kumuhifadhi kwa kuwa alikuwa akiwahofia wazazi wake.
Imedaiwa kuwa mwanamke huyo alikiri kuwa Jennifer alikuwa nyumbani kwake alimuomba akae kwa muda nyumbani kwake kwa hofu ya wazazi wake.Wazazi wapokee bila ya kumuliza maswali ya kumtisha ili asikimbie tena.ANGALIZO Msimcheke kupata ziro bali iangaliwe kupata ziro nani alaumiwe mwanafunzi au ccm?maana matokeo yalikua mabaya sana mwaka jana.