Jengo walilopanga CHADEMA kama Ofisi, Mtaa wa Ufipa Kinondoni ni la Nani na kodi yake ni kiasi gani?

tusitegemee majibu hapa... cdm huwa wanalipuka kwa hoja zinazowalenga...

Ujinga kama huu unataka ujibiwe nini? Jiulize tu je Kodi hailipwi? Kuna shida gani jengo hata likiwa lako? Au ulitegemea nape akodishe jengo lake kwa chadema? Lakini kibiashara hata lingekuwa LA kinana angepangishwa tu he sisi tuliopanga nyumba za watu kuna shida gani? Escrow,eppa,rada,ndege ya raid, Richmond. Na mengine mengi imetia hasara taifa kiasi gani ukilinganisha na chadema kulipa kodi kwa mmiliki halali wa jengo? Acheni kufikiri kwa kutumia matakotaniazation.
 
Chadema Ni Chama cha wasanii Na waigizaji wakubwa Sana!!!,wanachama wa Chadema wanapenda mabadiliko lkn wanaogopa Sana kusema ukweli, viongozi wa Chama mikoani Na mawiliyani wana shida kweli, wanashurutishwa Na viongozi wa Chama taifa kuhusu masuala yote ya mapato Na matumizi, Chadema hakuna msafi hats mmoja, Kama mwenyekiti hakusimamisha mgombea Musoma vijijini kwa kupewa hongo, mwenyekiti anatengeneza madeni hewa kudai Chama isivyo kweli, Na uongozi wa Chadema unajua yote hayo, Hakuna wa kusema hapana, Ni ubinafsi Tu wa viongozi hasa viongozi waandamizi kuhujumu Chama ndo unakiua hicho Chama wala si Cha Maendeleo wala hakina Demokrasia hats kidogo. Tanzania Ni bora atokee Mgombea binafsi Pengine anaweza kuwa Na maamzi huru, Na ya Manufaa kwa Watz wote sio Vyama binafsi vyenye ubinafsi Na Uporaji, kusujudiana Sana.
 
Watanzania tunatumika Sana Na watu wachache wenye upeo mdogo Sana, afu tunakubali kubali Tu, Hakuna Msomi, ama mtu yeyote anaesema hapana!! Hapana Na inatosha!!! Tunategemea kubebwa bebwa Tu, kwamba fulan akiwa raisi Mimi ntakuwa hivi??? What a shit!!! Chadema wana pora fedha Na Mali za Chama;!! Na wanaopora Ni viongozi wetu wa Chama taifa!!! CCM pia wana Undugu Na Ufisadi hakuna WA kusema hapana, Mahakama ya Kadhi Haifai kwenda bungeni lakn Pinda anataka ipite Ili yeye Na familia yake Tu wanufaike kwa kwenda Ikulu kwa gharama ya wasio waisilamu, yaan wote wasio waislamu yaani wajenge Na kutambua taasisi isiyo Na manufaaa kwao ila Pinda anufaike kwenda Ikulu Tu, what a shaaame...
 
Chadema Ni Chama cha wasanii Na waigizaji wakubwa Sana!!!,wanachama wa Chadema wanapenda mabadiliko lkn wanaogopa Sana kusema ukweli, viongozi wa Chama mikoani Na mawiliyani wana shida kweli, wanashurutishwa Na viongozi wa Chama taifa kuhusu masuala yote ya mapato Na matumizi, Chadema hakuna msafi hats mmoja, Kama mwenyekiti hakusimamisha mgombea Musoma vijijini kwa kupewa hongo, mwenyekiti anatengeneza madeni hewa kudai Chama isivyo kweli, Na uongozi wa Chadema unajua yote hayo, Hakuna wa kusema hapana, Ni ubinafsi Tu wa viongozi hasa viongozi waandamizi kuhujumu Chama ndo unakiua hicho Chama wala si Cha Maendeleo wala hakina Demokrasia hats kidogo. Tanzania Ni bora atokee Mgombea binafsi Pengine anaweza kuwa Na maamzi huru, Na ya Manufaa kwa Watz wote sio Vyama binafsi vyenye ubinafsi Na Uporaji, kusujudiana Sana.
 
kwanini watu wanapiga chenga hili swala? nyumba ni ya nani na kodi yake ni kiasi gani? Tundu lisu, nyerere, mnyika nyote mpo humu, hebu jibuni kwa uwazi . Nyinyi bwana miezi michache mtakuwa mawaziri, makatibu wakuu na wanasheria wakuu wa nchi hii. Tunataka transparency ianzie hapa kabla ya novemba. KODI YA HILE NYUMBA PALE MTAA WA UFIPA NI KIASI GANI? NA ANALIPWA NANI? Mnapoulizwa masuala msione watu wanatania, tupo serious.
 
Jengo la Makao Makuu ya CHADEMA linamilikiwa na Chama hicho kupitia kwa Mwenye Chama Mzee Mtei,Kodi yake ni kubwa haiendani kabisa na thamani ya Jengo lile. Sijui lile jengo lilikuwa Guest House maana lina counter.
 
Utakua hujitambui hesabu za chadema zinakaguliwa na cag nenda utaona mikataba ya pango na matumizi mengine yote. Kuwa ccm ni laana hata akili nayo inaganda, chadema ni taasisi kama unajua kusoma ripoti ya mdhibiti na mkaguzi utapata kila kitu tatizo ninaloliona hutakuwa hujui hata kusoma hesabu za taasisi
 
kwanini watu wanapiga chenga hili swala? nyumba ni ya nani na kodi yake ni kiasi gani? Tundu lisu, nyerere, mnyika nyote mpo humu, hebu jibuni kwa uwazi . Nyinyi bwana miezi michache mtakuwa mawaziri, makatibu wakuu na wanasheria wakuu wa nchi hii. Tunataka transparency ianzie hapa kabla ya novemba. KODI YA HILE NYUMBA PALE MTAA WA UFIPA NI KIASI GANI? NA ANALIPWA NANI? Mnapoulizwa masuala msione watu wanatania, tupo serious.
Nyumba ya MTEI hiyo,jiulize kwa nini chama hakimiliki jengo la ofisi miaka yote hiyo,wakijenga ofice Mtei atakula wapi?maana atakosa wapangaji Kama Chadema wanaomlipa rent kubwa mpaka vilembwe wake watakula,na watakufa wanaiacha hiyo rent kwa jinsi ilivyo kubwa
 
Jengo la mamako na babako na wenye kuchukua kodi ni nyumbandogo ya babutako! So what? Nchi iko kwenye vita vya Ujangili, sembe, Ufisadi kwenye kila Nyanja, ... wananchi maisha magumu kupita maelezo, watoto wanasoma chini ya miti, wanafunzi wanakosa nafasi ya elimu ya juu, wafanyabiashara wanaibiwa kupitia EFD ... Kodi zetu wanagawana kwenye mifuko ya sandarusi, halafu wewe unatuletea usharobaro wa Ofisi kubwa ambazo mtataikiwa kuzirejesha zote kwani zilijengwa chini ya mfumo wa chama kimoja.... Soon tunaheshimiana tu ....
 
Katika vitu vinavyonikera kuhusu CDM ni lile jengo. Yani it sums up all their ambitions and aspirations.10 years after becoming a major party, 5 years after being the main opposition party yet, no trace of an institution can be found.

CDM needed a proper institutional Building. I am sure they could have mobilized at least $1M to have a proper building. The current Building signifies transition and lack of permanency.

Mkuu jengo linajengwa na mkombozi mzee sabodo la gjorofa kama8 usi compare cdm na wezi ccm wanaodhulum mali za wananchi toka enz za tatu na kuzigeuza za ccm
 
Kalaaaniwa yeye aliyekuzaa wewe na kizazi chako chote kitakachotokana na damu yako pia kimelaaaniwaaa kama ruzuku ni ml 300 Kofi kwa mwezi ml 80 je kwa miezi 4 watakuwa wamelipa kiasi gani? Na miezi 8 iliyobaki Pesa inatoka wapi? Then chama kinajiendeshaje? Takataka kama hi I ni chukizo mbele ya Mungu na kizazi kilichopo na kijachoo eti nawe utajiita mwana propaganda poor yoouuuuu

Usibishane na taira mkuu
 
Back
Top Bottom