Jengo Refu Zaidi Duniani

Ramadhani imeanza?
Mie sijaalikwa futari hata moja this week
 
Hiyo Burj Khalifa nimeshaipanda. Lift yake ina speed kali. Dakika moja umeshafika gorofa ya 125!
 
aibu!!! wacha nijipange niende kumgegeda demu kwenye floor ya 160....kweli we will be so high lol
 
Nipo Mbioni kukomboa Jimbo la Korogwe Mjini Kutoka utawala dhalimu wa CCM wana CDM na watanzanianitahitaji ushirikiano wenu....Msaada wa Mawazo na mbinu za ushindi..........
 
Nipo Mbioni kukomboa Jimbo la Korogwe Mjini Kutoka utawala dhalimu wa CCM wana CDM na watanzanianitahitaji ushirikiano wenu....Msaada wa Mawazo na mbinu za ushindi..........

Khaaa! Jengo refu + siasa = ....
 

Siku ambayo ardhi itakasirika, wakaazi wa hayo majengo watajirusha kama wale wa Twin towers(9/11).
 
Hiyo Burj Khalifa nimeshaipanda. Lift yake ina speed kali. Dakika moja umeshafika gorofa ya 125!
Tujuze zaidi kuhusu hilo jengo. Ukiwa juu si balaa !
 
hili jengo linabahati haliwezi kulipuliwa kwani limejengwa nyumbani kwa walipuaji.
 
Nipo Mbioni kukomboa Jimbo la Korogwe Mjini Kutoka utawala dhalimu wa CCM wana CDM na watanzanianitahitaji ushirikiano wenu....Msaada wa Mawazo na mbinu za ushindi..........

Hizo siasa sasa
 
kwani wao mbona wameweza wananini? na Mbona sie tumeshindwa kwa nini?
 
USA wapo busy na vita na kubaki na vichuguu kama vya magogoni kwa JK, wenzao wanafanya mambo.! Kwishney Baraka Huseni Obama
 
Tanzania litajengwa mafisadi watakapokufa woote ama ccm kuondoka madarakani tofauti na hivyo tutaishia tu kuyaona kwa wenzetu
 
I may be one of the few Tanzanians kufika katika floor ya 42 kati ya 88 ya Menara Petronas (Petronas Towers) kule Malaysia ambayo ni the tallest twin towers in the world, na hakika masikio yaliziba tulipofika floor fulani hadi tulipolazimika kumeza mate mara kadhaa ili yazibuke. Halafu ijulikane kuwa urefu wa jengo hauna uhusiano wa moja kwa moja na idadi ya floor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…