Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Nini chanzo cha moto?
pole aiseAsubuhi ngumu kwa chuo kikuu cha Makerere.Jengo kuu na la kihistoria lenye kumbukumbu za wanafunzi,lililojengwa na Waingereza miaka ya 1940’s limewaka moto alfajir ya leo.Makerere ni miongoni mwa vyuo vikuu bora Afrika kilichopika viongozi wengi kama Nyerere, Mkapa,Obote na Kibaki
View attachment 1574946View attachment 1574949
View attachment 1574947
Cheti hakitolewi mara mbili yakhe.Khaaa. Vyeti vipo Kwenye database...vimefanyiwa back-up mkuu.
Ukitaka tu uchapishiwa .
What memories Mkuu? Au ulisoma na Taban Amin pale? Maana vitimbwi vyake na vya baba yake vilikuwa balaaa tupu.Very sad. That building brings back unforgetable memories when every timr I visited the University.
Ni historia inabaki hivyo.What memories Mkuu? Au ulisoma na Taban Amin pale? Maana vitimbwi vyake na vya baba yake vilikuwa balaaa tupu.
Idi Amin alilazimisha mwanae awe admitted hapo kwenye faculty ya Civil engineering, ila alikuwa mweupe kichwani balaaa. Baadaye Amin akampeleka Moscow kusoma Aircraft engineering, ambako nako Warusi ilibidi wamrudishe home jamaa huku wakimwelezea kama unteachable. Teh teh teh !!