Jengo la utawala Chuo Kikuu cha Dar es Salaam-UDSM

Jengo la utawala Chuo Kikuu cha Dar es Salaam-UDSM

Yote Tisa, la Kumi sasa ni vyoo vya UDSM….kuanzia hostel mpaka madarasani vyoo ni vibovu vichafu na vimezeeka!
Najiuliza sana Estate department ina maana hawavioni au hawaoni hili?
Vijana wetu wanasoma kwenye mazingira Magumu sanaaa

acha tu yaani emagine choo cha shimo ni kimoja tu hall zima na kipo down stair🥲 loh, ukikuta asbh iyo foleni ya kuingia chooni ni huzuni[emoji22]
 
acha tu yaani emagine choo cha shimo ni kimoja tu hall zima na kipo down stair🥲 loh, ukikuta asbh iyo foleni ya kuingia chooni ni huzuni[emoji22]
Dah, afadhali kwenye jengo, nenda kwenye vyoo anzia vyoo vya Nkrumah hall ukimaliza nenda kwenye vyoo vya Seminar Rooms (SR)!!!!!!

NB:
Pamoja na mazingira mabovu ya vyoo, uchafu mwingi huchangiwa kwa kiasi kikubwa na wanafunzi wenyewe.
Mfano unakuta mwanafunzi wa chuo kikuu anajisaidia haja kubwa pembeni!!! Hii nilimrudisha mtu chooni!!!Unasubiri huduma kuingia unakutana na kombora la Putin liko Pembeni!!!
 
acha tu yaani emagine choo cha shimo ni kimoja tu hall zima na kipo down stair🥲 loh, ukikuta asbh iyo foleni ya kuingia chooni ni huzuni[emoji22]
Mkuu Yaan huwa sielewi kabisa Chuo kikubwa kama hiki kinashindwaje kuweka safi na salama miundo mbinu ya vyoo
 
Nawasalimu kwa salaam yetu pendwa toka kwa mama yetu. Kwa wenzangu na mimi ambao tumewahi kupita chuo kikuu cha Dar es Salaam kwa kusoma ama kutembea tu kuna maajabu yapo katika jengo la Utawala.

Ukiingia kwenye jengo hilo ndio utaweza kumuelewa yule member wa humu ambaye mara nyingi utumia kauli ya SHULENI UWA MNAAENDA KUJIFUNZA UJINGA!

Hauwezi kuamini hili jengo lina ofisi za wasomi wabobezi na waandamizi na wakiwa wanaaminiwa na nchi hii. Chakuchekesha ukipanda kuanzia ghorofa ya kwanza mpaka ya tatu ni hovyo sana, hazipo katika umaridadi.

Ukianza kupanda ghorofa ya Nne unapigwa na butwaa, chini imewekwa malumalu na milango ya vioo ukweli inapendeza hapo ndio zipo ofisi za wazito wa UDSM.

Cha kujiuliza hawa wasomi wetu wapo tayari kupita sehemu chafu kuanzia ghorofa ya kwanza mpaka ya tatu ila ya nne ni safi.

Na muda wa kushuka atashuka kuanzia ghorofa safi akizipita ghorofa chafu. Ndio hapo unajiuliza hawa wasomi wetu walienda shule kujifunza ujinga ama. Rekebisheni jengo lote hilo.
Inawezekana hizo ghorofa za chini ni vitivo vya mambo ya uchafu.
 
Mkuu Yaan huwa sielewi kabisa Chuo kikubwa kama hiki kinashindwaje kuweka safi na salama miundo mbinu ya vyoo
Utamadunu wa mtanzania ni kuwa chooni sehemu inayotakiwa kuwa chafu sana. Ndiyo maana unakuta nyumba nyingi wametenga kandimbili za kuingilia chooni na ni marufuku kuzitumia ndani. Majuu watu wanaingia na vinywaji chooni kulivyo kusafi.
 
Dah, afadhali kwenye jengo, nenda kwenye vyoo anzia vyoo vya Nkrumah hall ukimaliza nenda kwenye vyoo vya Seminar Rooms (SR)!!!!!!

NB:
Pamoja na mazingira mabovu ya vyoo, uchafu mwingi huchangiwa kwa kiasi kikubwa na wanafunzi wenyewe.
Mfano unakuta mwanafunzi wa chuo kikuu anajisaidia haja kubwa pembeni!!! Hii nilimrudisha mtu chooni!!!Unasubiri huduma kuingia unakutana na kombora la Putin liko Pembeni!!!
Ni lini ulifika vyoo vya Hapo Seminar rooms? Kipindi cha karibuni
 
Nashukuru sana Chuo Kikuu changu Bora Tanzania na ambacho nakipenda hakuna Mfano cha Mtakatifu Augustine (SAUT) hakina 'Aibu' hiyo na huenda ndiyo maana kilitoa, kimetutoa na kinaendelea tu kutoa (kuzalisha) Majiniasi watupu wa Kitaaluma ndani na nje ya Ardhi hii ya Tanzania.

I love you SAUT na hakika We build the City of God.
SAUT ni Chuo Cha Michongo hovyo kabisa. Angalia orodha ya vyuo bora East Africa uone kipo wapi. Muwe serious ktk Elimu. Hakuna mtu smart anaweza sifia Chuo cha Saut. Hakuna.
 
Back
Top Bottom