Mie naishi Iringa siko Dar .... picha ya hilo jengo ilirushwa ktk post flani humu humu Jf nikai-save .... bahati mbaya sikuwa na muda wa kutosha kuuliza kwa wakati huo .... but when I got the time I didn't remember the forum.
Nimeuliza ili nifahamu na nadhani ni haki yangu kufahamu by the way this is a free forum