YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,050
Watakuwa na sehemu wanakoingilia hakujulikani sababu huwezi waona wakiingia wala kutoka au labda huingia usiku sana kukiwa hakuna watuMakadirio ya idadi ya viti? Je kuna sehemu wanapitia kuingia au hapohapo kwenye geti lao