MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,695
- 31,478
Mbona cheap sana 5b mtapokea?
Hahaaa usiogope ndg yangu mambo yakawaida haya kwa wenye nazoDuuuuuuh hata kwenye uzi nimeogopa kusoma hiyo pesa
Haha hiyo nyingi sana..mwenyewe anataka 4.5b na muende kuongea akupunguzieMbona cheap sana 5b mtapokea?
Hahaa usiwapishe njoo upambanie yamkini bahati ikawa yako we lete ofa yako nimpatie mwenyeweSamahani mkuu. Nimeingia kwenye huu uzi wako ili tu kuja kuangalia bei ya kuuzia! Yaani ni bilioni ngapi!! Baada ya hapo, naomba niwapishe wenye hela zao.
Mkuu yapo maduka makubwa 3 na kila moja linapangishwa 1mMkuu hizo wanakodosha bei gani na idadi kamili ya frem na kodi zake kuna
mtu nataka nmpe mchanganuo anaweza kununua
So total ni kama 15M kwa mwezi sio?Mkuu yapo maduka makubwa 3 na kila moja linapangishwa 1m
Kuna apartment za vyumba 3 na ziko 16 na kila moja inapangishwa 800,000/= kwa mwezi
800,000×16=12,8000,000So total ni kama 15M kwa mwezi sio?
Hahaa900 itapendeza
Miaka 24 Umemaliza deni unaanza kula faida.............So total ni kama 15M kwa mwezi sio?
Ok ila bado kuna kodi hapo mkuu800,000×16=12,8000,000
1,000,000×3= 3,000,000
Jumla ni Tsh 15,800,000 kwa mwezi mmoja
Kwa mwaka 15,800,000×12=
189,600,000/=
Na hii ni uhakika mkuu na jengo limejaa wapangaji
Aje aongee na mwenyewe anaweza kupunguziwa huwezi jua mkuu..hili ananunua na anapata hela yake na jengo bado ni mali yake...kama unavyojua aridhi haishuki thamaniMkuu nimeshindwa hata kumshawishi
Jamaa alikuwa anatafuta sehem yakuwekeza 1.2M$ ila naona kwa hesabu hizo ni bora aendelee na wazo la fixed maana bank wanatoa 8 to 9 %
Yeah ni kweli hapo toa kodi,bado hela inabaki nzr tuOk ila bado kuna kodi hapo mkuu
Sana mkuu na pia inaweza kuwa chini kidogo ya hapo maana huwa kodi zinapanda kutegemeana na hali halisi ya uchumi inavyoendaMiaka 24 Umemaliza deni unaanza kula faida.............
Hahaa umetisha mkuuDuuuuuuh hata kwenye uzi nimeogopa kusoma hiyo pesa