meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Ni mwaka wa uchaguzi ambapo tunategemea na kutarajia watu muhimu au viongozi au waandishi kuchukua na kuupamba upande wanaouamini au kutegemea maslahi.
Kuna mada iliwahi kuonekana humu jamvini lakini ilipotea kwa bahati mbaya.
Mada hiyo ilionya waandishi wa habari kutohadaa wananchi juu ya nani anayekubalika na kuwa mgombea wa urais.Mada hii ilikumbushia madhara ya wanahabari kuwaaminisha watanzania kuwa huyu ndiye kumbe ni bomu.sijui mada hiyo imepotelea wapi ndio maana nimeleta mada hii hapa jamvini.
Jenerali Ulimwengu mwandishi mkongwe na mwenye heshima katika tasnia ya uandishi na serikali na nchi hii au East Africa kwa ujumla.
Mwandishi huyu aliitumia kalamu yake na ujuvi wake wa Serikalini kutushawishi watanzania, wazalendo, CCM na Team Lowassa kuwa EL ndiye mgombea anayekubalika na ni mgombea sahihi.
Kazi hii aliifanya kwa ustadi mkubwa kwa kutumia lugha ya na platform za kilami kujaribu kuuza jina la EL.Inawezekana aliifanya kazi hii kwa utashi au kwa kuhongwa lakini tunamshukuru Mungu kuwa amemuumbua!
Ulimwengu alitoa articles mbili ninazozikumbuka na kuziona hapa JF zote zikituaminisha madudu au hadaa kwamba EL ndio. Nashukuru responce ya wanaJF zilikuwa chache pengine ni ku-ignore au ignorance ya members wa wakati huu.
Jishughulisheni kuzitafuta articles hizo humu JF mtanielewa naongelea nini.Sasa ombi langu kwa comrade Ulimwengu ni kuja kivingine kama ataweza au kununuliwa!
Nataka azithibitishe articles zake kwa kuhakikisha CCM inadondoka kwa kuwa maoni yake yake yalikuwa sahihi pole natoa kwa wazee wote wa vibahasha!
Kuna mada iliwahi kuonekana humu jamvini lakini ilipotea kwa bahati mbaya.
Mada hiyo ilionya waandishi wa habari kutohadaa wananchi juu ya nani anayekubalika na kuwa mgombea wa urais.Mada hii ilikumbushia madhara ya wanahabari kuwaaminisha watanzania kuwa huyu ndiye kumbe ni bomu.sijui mada hiyo imepotelea wapi ndio maana nimeleta mada hii hapa jamvini.
Jenerali Ulimwengu mwandishi mkongwe na mwenye heshima katika tasnia ya uandishi na serikali na nchi hii au East Africa kwa ujumla.
Mwandishi huyu aliitumia kalamu yake na ujuvi wake wa Serikalini kutushawishi watanzania, wazalendo, CCM na Team Lowassa kuwa EL ndiye mgombea anayekubalika na ni mgombea sahihi.
Kazi hii aliifanya kwa ustadi mkubwa kwa kutumia lugha ya na platform za kilami kujaribu kuuza jina la EL.Inawezekana aliifanya kazi hii kwa utashi au kwa kuhongwa lakini tunamshukuru Mungu kuwa amemuumbua!
Ulimwengu alitoa articles mbili ninazozikumbuka na kuziona hapa JF zote zikituaminisha madudu au hadaa kwamba EL ndio. Nashukuru responce ya wanaJF zilikuwa chache pengine ni ku-ignore au ignorance ya members wa wakati huu.
Jishughulisheni kuzitafuta articles hizo humu JF mtanielewa naongelea nini.Sasa ombi langu kwa comrade Ulimwengu ni kuja kivingine kama ataweza au kununuliwa!
Nataka azithibitishe articles zake kwa kuhakikisha CCM inadondoka kwa kuwa maoni yake yake yalikuwa sahihi pole natoa kwa wazee wote wa vibahasha!