Nakubaliana na prof James Watson kuwa sisi watu weusi tuna uwezo mdogo sana wa kufikiri, ni wewe Jenerali Ulimwengu uliyewahi kutofautiana na serikali ya CCM kisa kuandika maovu yao, wakakupora uraia wako wakisema kuwa wewe si mtanzania na ukaanza kuishi ndani ya nchi yako kwa kulipia kibali, mtu uliyewahi kuwa mkuu wa Wilaya unaambiwa si raia na uishi kwa kibali, sasa hivi unaipigia kampeni CCM iendelee kutawala wewe na mwenzako Mbwambo, huu ni unafiki wa hali ya juu kupindukia, leo CCM imekuwa nzuri kwako kwa lipi hasa?
Hata kama padlocks ni best yako tambua kuwa CCM ni mfumo hata aje malaika awe rais kupitia CCM hakuna kitakachobadilika,tupo vitani kuhakikisha kuwa CCM inaanguka kwa gharama yoyote ile, unapokuwa vitani huwezi kuchagua silaha za kupigania, inapobidi unaweza kutumia silaha ya adui ili kushinda vita pindi ukifanikiwa kuiteka ndo maana tukamchukua Lowassa, Lowassa ni bomu la nyuklia ktk vita dhidi ya CCM na kwa hiyo lazima tushinde hii vita,wewe na wenzako mmetugeuka ktk battle field,hamfai kabisa.
mtu akisema ukweli anakuwa mnafiki, watu wote hawawezi kuwa na mtazamo wa aina moja, ikiwa hvyo basi tutakuwa taifa la watu wapumbavu.