Jenerali Ulimwengu, kumbe hata wewe ni mnafiki!

Jenerali Ulimwengu, kumbe hata wewe ni mnafiki!

Dilema.

Yaani Watz wengine tuko kama nyumbu. Huyu mzee hakumbuki hayo? Utakuta bado analipia kibali.

hv nyie leo mmeusahau ubaya wa lowassa mliokua mnausema kwa miaka olmxt 7?mmeusahau ubaya wa nkumba aliyekua anawapnga leo yupo wap?
 
Ukweli upi unaosoma huu wakuendelea kudanganya watu kwamba CCM ya Jenga NCHI hatuhitaji kwa sasa
Tunazungumzia ukweli wa kula matapishi yao na kuanza kumtakasa mtu walietumia tumia nguvu nyingi kumchafua ina maana hakukuwa na mtu wa kutupeperushia bendera ukawa
 
Kwani Jenerali kasema nini?
Nadhani ungeanza kwa kusema kwanza alichosema Jenerali then ndio uendelee kutoa maoni yake juu ya kile alichokisema. Sio kila mtu anajua alichosema Jenerali.
 
Aliuza kampuni iliyokuwa anaimiliki yeye na wenzie labda katangaziwa dau tena kwenye gazeti lake
 
Mimi kura yangu ni UKAWA awe bubu au la. CCM imenichosha, nimelalamika sana, sitaki tena kulalamikia tena CCM baada ya Oct 2015! Hata kama ni bubu kupitia UKAWA ataongea tu.

Kama CCM itarudi baada ya Oct 25 wakati huo NEC ikiwa imetenda haki, sitaki kusikia mtu (hasa nyinyi mnao shabikia UFISADI) analalamikia CCM bora atulie abebe mimba yake ya miaka 5 ijayo!


Maandiko ya Imani zetu haya fundishikuchukia mtu ila wanadamu tuna kasumba ya kuendekeza chuki hata kwa mamboambayo hatuwezi kudhibitisha pasipo shaka yoyote!

Walokole wanajua sana umuhimuwa mtu kuokoka, wapo watu walio kuwa wakorofi lakini ni watumishi wazuri wamungu baada ya wokovu!

Kama YESU alimpokea mbaya namtesaji wa wafuasi wake iweje CHADEMA isimpokee Lowassa?! Tena mkorofi yuleakawa mtume bora kuliko mitume walio kuwa wafuasi wa Yesu wa awali!

Mungu hufurahi anapo rudi kondoowake aliye potea! Watanzania wanatakiwa kufurahi kwa kuokoka kwa Mzee wetuLowassa!

Mungu Mbariki Lowassa, Munguwabariki Watanzania wapate roho ya kujua mema na mabaya, Mungu takasa nyoyo zaokwa kuondoa taka mioyoni mwao na fikira zao, Mungu bariki NEC waweze kutendahaki

Mungu wabariki viongozi waJeshila Polisi Tanzania uwajaze neema ya upendo kwa watu wote, uwajaze rohomtakatifu, uwajalie upendo kwa watu wote

Mungu uwajalie CCM viongoziwote ngazi zote roho ya uvumilivu na wasiwaze wala kutenda maovu dhidi yawashindani wao.

Mungu uwajalie Channel Tenkuweka minzani iliyo sawa katika vipindi vyao vyote vya mijadala kuelekeauchaguzi mkuu Tanzania. Wale wote wanao tumia runinga hii kugilibu Watanzaniauwaadhibu kadili ya mapenzi yako baba.

Mungu Bariki Watanzania wotewaache chuki, uwajalie upendo

Mungu tenda kadili ya mapenziyako dhidi ya wale wote wanao jikweza na kuongea mambo yasiyo tokana walaambayo ni kinyume na nafsi zao, Baba tenda miujiza kwa kudhihirisha uharisiawao!Mungu ibariki Tanzania milena milele Amina!
 
Mandela alishirikiana na makaburu na wapinzani wake baada ya kuingia ikulu na siyo kabla. Kwa hiyo Mbowe amekosea kumkaribisha Lowasa na kumfanya mgombea wa chadema. Watu wenye akili za kutosha hawawezi kumpa Lowasa kura. Huyu mtu hana maadili na anatumia fedha kutafuta urais na hii ni Hatari. Nina hakika baada ya kampeni wengi wanaonfuata watabadilika na hawatampa kura. Ukawa turidhike na wabunge zaidi ya nusu ili kuithibiti serikali na Sera zetu na ilani yetu zitekelezwe na serikali itakayoundwa hata kama Tingatinga akiwa rais.
Ushirikiano wa Mandela na National Party/De Klerk kimsingi haukuanza 1994. Mazungumzo yalianza toka Mandela yuko gerezani na moja ya masharti ya kuachiwa huru ni kutolipiza kisasi kwa viongozi wa chama cha kikaburu. Yaliyotokea 1994 ni matokeo tu ya majadiliano yaliyofanyika kabla. Tena Lowassa hatatenda dhambi kubwa kuliko makaburi walioua maelfu ya watu, kubagua huduma za jamii kwa misingi ya rangi, nk. Madhila ya ubaguzi wa rangi yataendelea kuwapo kwa miongo mingi ijayo. Lowassa kafanya kitu cha kunyanyapaliwa kiasi hicho?
 
Ni kweli kumsafisha Lowasa hadharani ni kazi kweli kweli hasa kwa kuwa yeye mwenyewe hataki hata kutamka neno FISADI! Nadhani timu ya kampeni ya Ukawa wako humu. Wamlazimishe lowasa kuokoka na kukemea ufisadi hadharani na atoe tamko kuwa atakuwa kama Zakayo wa biblia aliyeongoka na kurudisha Mali yote ya dhuluma. Lowasa alazimishwe kutamka mali zake zote hadharani na alivyozipata ndipo wagombea wetu wa ubunge na udiwani wataweza kuendeleza agenda ya kutokomeza ufisadi kwenye kampeni. Lowasa pia aseme wazi wazi kuwa ataitekeleza sera ya chadema ya kuwapeleka mafisadi wote mahakamani endapo atakuwa rais. Kama hana ujasiri huo Ukawa kwisha.

mkuu,kimtazamo inaweza kuwa sahihi.unapo sema kumsafisha E.L hadharani ni kazi lazima ujiulize nini impact ya baada ya kumsafisha si ili akubalike,sasa mbona jamaa anakubalika hata kabla hajasafishwa?.
Unacho dhania kuwa kinachomfanya asafishwe ndo hicho kilicho mpa umaarufu coz wengi wanaamini alionewa!
 
Sasa nafurahi Watanzania mnaanza kuchambua kati ya Mchele na Pumba. Hakuna Msomi na Mtu anayejitambua akaisapoti CHADEMA / UKAWA na ndiyo maana kila kukicha huwa nawaambieni kuwa angalieni wale wote wanaompenda na kumuunga mkono " Kubwa la Makapi na Fisadi " a.k.a Lowassa mtagundua ya kuwa Uwezo wao wa kufikiri ni mdogo kama siyo finyu na asilimia kubwa ni Watu wahuni wahuni hivi na wana tuvituvitu fulani hivi.
Wajinga tu ndio wanaiunga mko ccm.
 
Ulimwengu anaandika makala zake kwa nadharia na falsasa sana. Makala zake ni abstract sana, kiasi kwamba kama ni msomaji mgeni hutazipenda. Hii haijalishi ameandika kwa Kiswahili au Kiingereza. I can vouch for this guy-I have known him for a long time to know he is a true activist/reformist. Ni mmoja ya waandishi wachache wasiopelekeshwa na dini, ukada wala ukanda.

Yeye kama mmoja wa wamiliki wa Raiamwema ni mwandishi mkongwe wa habari na anajua sio busara na ni kinyume cha maadili ya uandishi kuwapangia wenzake cha kuandika. Na inafahamika toka enzi za Rai kuwa kuna baadhi ya waandishi wao 'akili zinahama' wakati wa uchaguzi na wamewahi kuliweka bayana. Mfano Maggid wa nyakati za uchaguzi ni tofauti na wa nyakati zingine zote. Wakati wa uchaguzi, yeye ni pro CCM.

Kwa upande wa Mbwambo, huyu nae ni mwanamageuzi asiyetetereka. Amekuwa na msimamo usioyumba kwenye kutetea mageuzi. 'Tatizo' lake, uanamageuzi wake umejikita kwenye misingi-sio pragmatist. Kiukweli, kwa wafia mageuzi na washabiki wa siasa za chadema, kumpokea Lowassa ilikuwa ngumu sana kwasababu anaenda kinyume na wengi wanachokiamini. Baada ya kuandika makala zaidi ya 20 za kuponda ufisadi na Lowassa, naweza kumuelewa akikataa kumeza matapishi yake.

Namuunga mkono Lowassa kwa sababu he is a real threat to CCM.Japo naunga mkono ukawa, nina wasiwasi (kama Mbwambo) na mstakabali wa baadae wa chadema. Rejea historia ya NCCR mageuzi. Baada ya NCCR kuzimia kisiasa, upinzani wa kweli na mhemuko wa siasa za upinzani ulipoa sana-hiki ndo wanamageuzi waliojikita kwenye misingi wanakihofia. Ukiondoa ajenda ya ufisadi, chadema itazimia kisiasa. Hata hivyo tumaini lipo kwenye idadi ya wabunge wengi wanaoweza kupata. Sina tatizo na Mbowe, ni mwanasiasa makini na mahiri, amefanya kile Mandela na ANC walikifanya-kuungana na adui (National party) kuunda serikali ili kujenga nchi na kusonga mbele. Historia itamhukumu Mbowe, kama ambavyo baadhi ya weusi wanamlaumu Mandela.

Ulimwengu ahishimiwe, ni mwanamageuzi na mwanaharakati nguli. Ni kama Dr. Slaa. Hatuwezi kuthubutu kuusahau mchango wake (kama tunajiheshimu) ktk mageuzi eti kwasababu tu haungi mkono kuja kwa Lowassa, hata kama tunampenda sana Lowassa.

your good politics analyst!
 
Hakuna haja ya kutishana na wala hakuna mwenye lengo la kuisambaratisha nchi. Lengo ni kuhakikisha CCM inaondoka madarakani na Lowassa ndio silaha sahihi kutumika kuitupia CCM virago.

CCM walijisahau sana kuwa kuna nguvu ya umma. Tusubiri October.

Tiba
Tiba. Tabibu mbadala ya kuondoa kirusi ccm ni kutumia virus kubwa white hair. Hata wataalamu huwa wanapandikiza virus kuua vitus.
 
Wewe ndio una uwezo mdogo wa kufikiri.. me ni mweusi na nnafikiria vizuri... labda uache kuwaza kwa kutumia m@k@li0 ndio utaacha kuwa mvivu wa kufikiria...
 
Nadhani UKAWA tuwe tayari kupokea mawazo tofauti na yetu na tuheshimu watu Jenerali Ana mawazo mazuri tuwe makini Sana mie nataka tuwe na uhakika na Nidhamu itawale
Ndio maana tunasema hawa wafuasi wa Lowasa na sasa Chadema na UKAWA wao kujibu hoja ni kurusha mitusi ,kejeli ,hawana tofauti na wabunge wa wa lililokuwa Bunge la Katiba,nadhani ndio hao hao ambaosasa wamehamia Chadema na UKAWA na watu wao,wamekosa hata stahana hao ndio wanataka tuwaingize ikulu ,sijui kwa lipi la maana,nadhani ni pia Lowassa /Chadema/UKAWA sio miungu kiasi kwamba kukosolewa kwao ni dhambi,na ukiangalia utakuta wengi wa waporomosha matusi ni mashabiki wa Lowassa aliohama nao na sasa wameiteka Chadema na kujifanya wao ndio wao ndio wenye Chadema,kumbe ni Chadema mamluki tu,wamehamia huko sio kwa ajili ya kutafuta mabadilikobali kumfuata Mungu wao na matumbo yao,hawanauchungu wowote wa kumkomboa mwananchi wa kawaida hawa ndio walikuwa wanabeza na kuwazomea wapinzani mle mjengoni,hawa ndio walikuwa wanashabikia askari kuwapiga mabomu wapinzani,hawa ndio walishabikia katiba ya Chenge ,hawa ndio walishabikia mikataba mibovu ya gas,ya makosa ya mitandao n.k,hawa ni wafuata madaraka tu,tuwe macho nao si watu wazuri.
 
Hakika Jenerali Twaha Khalfani Ulimwengu hana msimamo na hugeuka pindi upepo unapovuma upande mwingine. Hata hivyo tusije tukabweteka kwa kudhani tupo pamoja na wazalendo halisi. inatupasa tuwe makini na tujitahidi kuhamasishana ili sote kwa umoja wetu na wingi wetu ifikapo tarehe 25 oktoba tuende vituoni na kadi zetu za kupigia kura ili tukaonyeshe dhahiri kuwa CCM imetosha...na Tanzania bila CCM inawezekana
 
Ulimwengu anaandika makala zake kwa nadharia na falsasa sana. Makala zake ni abstract sana, kiasi kwamba kama ni msomaji mgeni hutazipenda. Hii haijalishi ameandika kwa Kiswahili au Kiingereza. I can vouch for this guy-I have known him for a long time to know he is a true activist/reformist. Ni mmoja ya waandishi wachache wasiopelekeshwa na dini, ukada wala ukanda.

Yeye kama mmoja wa wamiliki wa Raiamwema ni mwandishi mkongwe wa habari na anajua sio busara na ni kinyume cha maadili ya uandishi kuwapangia wenzake cha kuandika. Na inafahamika toka enzi za Rai kuwa kuna baadhi ya waandishi wao 'akili zinahama' wakati wa uchaguzi na wamewahi kuliweka bayana. Mfano Maggid wa nyakati za uchaguzi ni tofauti na wa nyakati zingine zote. Wakati wa uchaguzi, yeye ni pro CCM.

Kwa upande wa Mbwambo, huyu nae ni mwanamageuzi asiyetetereka. Amekuwa na msimamo usioyumba kwenye kutetea mageuzi. 'Tatizo' lake, uanamageuzi wake umejikita kwenye misingi-sio pragmatist. Kiukweli, kwa wafia mageuzi na washabiki wa siasa za chadema, kumpokea Lowassa ilikuwa ngumu sana kwasababu anaenda kinyume na wengi wanachokiamini. Baada ya kuandika makala zaidi ya 20 za kuponda ufisadi na Lowassa, naweza kumuelewa akikataa kumeza matapishi yake.

Namuunga mkono Lowassa kwa sababu he is a real threat to CCM.Japo naunga mkono ukawa, nina wasiwasi (kama Mbwambo) na mstakabali wa baadae wa chadema. Rejea historia ya NCCR mageuzi. Baada ya NCCR kuzimia kisiasa, upinzani wa kweli na mhemuko wa siasa za upinzani ulipoa sana-hiki ndo wanamageuzi waliojikita kwenye misingi wanakihofia. Ukiondoa ajenda ya ufisadi, chadema itazimia kisiasa. Hata hivyo tumaini lipo kwenye idadi ya wabunge wengi wanaoweza kupata. Sina tatizo na Mbowe, ni mwanasiasa makini na mahiri, amefanya kile Mandela na ANC walikifanya-kuungana na adui (National party) kuunda serikali ili kujenga nchi na kusonga mbele. Historia itamhukumu Mbowe, kama ambavyo baadhi ya weusi wanamlaumu Mandela.

Ulimwengu ahishimiwe, ni mwanamageuzi na mwanaharakati nguli. Ni kama Dr. Slaa. Hatuwezi kuthubutu kuusahau mchango wake (kama tunajiheshimu) ktk mageuzi eti kwasababu tu haungi mkono kuja kwa Lowassa, hata kama tunampenda sana Lowassa.

nakubaliana na wewe kiongozi ukiangalia historia ya chimbuko la vyama vingi vya siasa ulaya utaona limetokana na kutoelewana ndani ya bunge ndipo vyama vikaundwa tafsili fupi hapa ni uibukaji wa vyama vyetu hapa haikua hvyo kwa hyo maslahi ndio kigezo kikubwa cha kuundwa vyama vyetu baada ya kufosiwa na wakoloni wetu kwahyo pindi lowasa atakapo shindwa uchaguzi hatakua tena naupenzi wa kudumisha chama cha chadema mwisho wake kita sinzia km nccr
 
mfianchi yaani unaonyesha waziwazi kufia nchi...ama kweli ...hakuna mrusha mitusi na hakuna msaka madaraka kwani demokrasia inatoa wigo mpana wa raia kushiriki siasa. usifikiri ukimnyima kwako basi asiende kwingine hapana. EL ametafakari na sisi tumetafakari sote kwa pamoja tumeona anatosha kuiondoa CCM madarakani. sasa ninyi wachche mliobaki kufia nchi mnao wajibu wa kufikiri upya. Tanzania bila CCM inawezekana
Ndio maana tunasema hawa wafuasi wa Lowasa na sasa Chadema na UKAWA wao kujibu hoja ni kurusha mitusi ,kejeli ,hawana tofauti na wabunge wa wa lililokuwa Bunge la Katiba,nadhani ndio hao hao ambaosasa wamehamia Chadema na UKAWA na watu wao,wamekosa hata stahana hao ndio wanataka tuwaingize ikulu ,sijui kwa lipi la maana,nadhani ni pia Lowassa /Chadema/UKAWA sio miungu kiasi kwamba kukosolewa kwao ni dhambi,na ukiangalia utakuta wengi wa waporomosha matusi ni mashabiki wa Lowassa aliohama nao na sasa wameiteka Chadema na kujifanya wao ndio wao ndio wenye Chadema,kumbe ni Chadema mamluki tu,wamehamia huko sio kwa ajili ya kutafuta mabadilikobali kumfuata Mungu wao na matumbo yao,hawanauchungu wowote wa kumkomboa mwananchi wa kawaida hawa ndio walikuwa wanabeza na kuwazomea wapinzani mle mjengoni,hawa ndio walikuwa wanashabikia askari kuwapiga mabomu wapinzani,hawa ndio walishabikia katiba ya Chenge ,hawa ndio walishabikia mikataba mibovu ya gas,ya makosa ya mitandao n.k,hawa ni wafuata madaraka tu,tuwe macho nao si watu wazuri.
 
Mahakama zilikuwa likizo muda wote au kulikuwa na jambo limejificha sasa ndo faili litolewe Takukuru????
Kampeni meneja wa Tingatinga Tafadhali chapisha hilo faili lote la Lowasa mnalosema ni kubwa sana liloko Takukuru ili watu watulize mawazo na kuanza kufikiri. Utaisaidia nchi isichafuke kwani wafuasi wake watamkimbia wakiuona ukweli.
 
Back
Top Bottom