Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,177
- 7,699
Kwan General kavunja kifungu gan tena cha sheria?
Mifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
cc: Pascal Mayalla