johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
- Thread starter
- #41
Hahahaaaa........ Mambo hubadilika bwashee!Wakati huyo Mgogo alikuwa anashindia Uji wa Ubuyu, Jenerali alikuwa kwenye mapambano dhidi ya Wareno Msumbiji.
Hahahaaaa........ Mambo hubadilika bwashee!Wakati huyo Mgogo alikuwa anashindia Uji wa Ubuyu, Jenerali alikuwa kwenye mapambano dhidi ya Wareno Msumbiji.
Kwa picha hii natengua kauli bwashee!Huyo hapo kulia. Andunje hana hoja na wala hajatajwa yeye wala hilo kusanyiko lake la mazuzu,anajishuku tu.View attachment 2007606
Nani mkubwa?!!!
Kwa picha hii natengua kauli bwashee!
Acha kushauri mambo ya hovyojMifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
cc: Pascal Mayalla
Amezungumzia Wabunge wanajipendekeza serikalini
Mifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
cc: Pascal Mayalla
Msamaha wa nini tena?. Spika amesema anatoa onyo asiendelee
Wakuangukiwa ni MUNGU Pekee na sio Binadamu Alichokisema Mzee Ulimwengu yupo Sahihi Spika kuwapa Ubunge Wasio na Vyama ni kutukosea Wanatanzania kwa kukiuka Katiba na KUSABABISHA Kodi za Wananchi kupotea mbona nae Hajatuangukia?Mifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
Pia soma > Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo
cc: Pascal Mayalla
Kama alishindwa Mwendazake ataweza huyo kibushuti? Acheni masihara nyie MATAGA.Mifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
Pia soma > Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo
cc: Pascal Mayalla
Wewe ni miongoni PUNDA weNani mkubwa?!!!
Kijitu kifupi mpaka roho na utumbo wa mavi vinagusana ndio maana kina roho mbayaKama alishindwa Mwendazake ataweza huyo kibushuti? Acheni masihara nyie MATAGA.
Wacha uzuzu wako wa lumumba.Mifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
Pia soma > Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo
cc: Pascal Mayalla
Msikilize na mwenzake Kessy wanavyo ropoka kwa kumpamba Mungu waoSpika mjinga anapotumia vitisho kupambana na ukweli. Huyu atatamba muda mfupi sana kwasababu ana jeuri ya madaraka, lakini akitoka madarakani atapata msongo wa mawazo kwa jinsi ukweli wake utakavyowekwa hadharani.
YAANI SI ITAKUWA LAANA...YAANI ULIMWENGU AMWANGUKIE KICHWA MTINDIO...KIBUSHUTIMifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
Pia soma > Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo
cc: Pascal Mayalla
Upuuzi. Ninani wakusujuduwa zaidi ya Mwenyezimungu. Hivi unamshauri amsujudie Ndungai. Ushindwe.Mifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
Pia soma > Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo
cc: Pascal Mayalla
Wewe na Ndungai wako MOLA awalaani. Unamlinganisha MTU na Mungu. Allah akulaani wewe na kizazi chakoMifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
Pia soma > Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo
cc: Pascal Mayalla