johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,750
- 139,549
Mifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
Pia soma > Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo
cc: Pascal Mayalla
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
Pia soma > Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo
cc: Pascal Mayalla