donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,132
Tuko pamoja mkuu wengi hawalielewiKweli hili JEMBE lakini ninaimani ni wa awamu ya kwanza tu ndio wanamuelewa vzr na wachache wa awamu zingine au wale ambao wamepigika, tunakutegemea baba tukomboeeeee!!!
KabisaaJembe kukuu lakini linapiga kazi........dizaini wanga wanakonda kuona linataka kulima lami...........
Mbna wengi sana wameanza kumuelewa mkuu, karibu team hakatwi mtuhuyu jamaa kama naanza kumuelewa hivi!
Yeah, economists hua tuna agree kudisagreeAma kweli hata Ma~GT wanatofautiana IQ.
View attachment 514371
basi la mkonoHill la tractor![]()
![]()
basi la mkono