Jembe jipya la Yanga latua usiku huu, ni Obrey Chirwa kutoka Zambia!

Wonderful

JF-Expert Member
Apr 8, 2015
7,347
5,986

Obrey Chirwa akiwa kwenye gari la Katibu wa Yanga, Baraka Deusdedit baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam wakielekea makao makuu ya klabu, ambako anatarajiwa kusaini Mkataba wa miaka miwili usiku huu!!
==================================
Updates:
Obrey Chirwa amalizana na Yanga, jina lake latumwa CAF, now yupo kwenye ndege kuifuata timu Algeria.
 

Obrey Chirwa akiwa kwenye gari la Katibu wa Yanga, Baraka Deusdedit baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam wakielekea makao makuu ya klabu, ambako anatarajiwa kusaini Mkataba wa miaka miwili usiku huu!!
Mkuu anamudu nafasi ipi?
 
Nan anatemwa mana tyr wa kimataifa washafika nane au musona hajasaini
 
Back
Top Bottom