Mamndenyi
Platinum Member
- Apr 11, 2011
- 44,606
- 64,451
tafadhali mjukuu nenda polepoleKweli ni wanawake wachache sana wanaingia mbinguni. Wanawake dhambi ya uongo inawalemea mno. Unaweza dhani umepata binti mbichi kumbe libibi.
tafadhali mjukuu nenda polepoleKweli ni wanawake wachache sana wanaingia mbinguni. Wanawake dhambi ya uongo inawalemea mno. Unaweza dhani umepata binti mbichi kumbe libibi.
Hatulishwi tunavifuataIla wanaume tunalishwa vibudu hasa.
Askari jela wamevurugwa ukichangia na stress za maisha, utakula rungu hadi uchakae, ukitaka ishi vizuri jela kuwa muoga yaani uwe na nidhamu, lakini ukijifanya primitives, kule ndo kuna watu primitives zaidi yako. Kama umeshindika mtaani jela huwezi shindikana.askari wa magereza ni balaa,kuna siku nilikuwa mahakamani mara wakawaleta watuhumiwa kama 10 hivi ,moja alikuwa anajaribu kutoroka walipokuwa wanashuka akamdaka ,akamleta ndani ,pale pale mbele za watu wanaosubiri kesi zao alimzaba makofi ya shingo.
Tena kwa kasi ya 5G zaidi ya vile vitu natural........nawaona wazee wa balimi wakishapata mbili, tatu kila mbebez anaonekana moto.Hatulishwi tunavifuata
hhaaaa usidharau mitumbaaaaa yaaniii walio wengiiii mitumba imewatoaa sanaaaaa kuliko wapatao specialInamaana huku mtaani wanawake wengi wanaotesa roho zetu ni mitumba kwisha kazi Ila vipodozi na perfume ndio vinafanya tunawakosea wake zetu adabu.
Pesa kwanza,mengine baadaeAskari jela wamevurugwa ukichangia na stress za maisha, utakula rungu hadi uchakae, ukitaka ishi vizuri jela kuwa muoga yaani uwe na nidhamu, lakini ukijifanya primitives, kule ndo kuna watu primitives zaidi yako. Kama umeshindika mtaani jela huwezi shindikana.
Ukijifanya unajua ngumi utakutana na wababe wa ngumi. Raha ya jela uwe na pesa na uwe na nidhamu kwa askari na wafungwa wenzio utaishi vyema.
Hadi kule chini (kati)Ila wanawake wanatuongopea kwa vingi aisee
DahAmeupata ubaya kwa kasi sana, wadhibiti wafungwa wasiambukizane ubaya
Hahahaah! Unaniita mjukuu unataka kuninyima nini?tafadhali mjukuu nenda polepole
Mitumba Ina utamu wake Kama ni mitumba OG.hhaaaa usidharau mitumbaaaaa yaaniii walio wengiiii mitumba imewatoaa sanaaaaa kuliko wapatao special
Mama ake mdogo jamaaHalafu nimekuja kujua kuwa kafanana sana na Mr Nice
shenzi kabsaaaa ..... unasafisha goboreee unasepa mbiooo ukijiambia sirudi tenaa.... baada ya siku kadhaa a .."baby i like your litle panya/mouse" na ndipo safari inakoanzia ya matumizi yasiyo na kikomooo endapo sio tegemezii kwakoo eeeeMitumba Ina utamu wake Kama ni mitumba OG.
Kuna mitumba kwa macho huwezi kugundua kua ni mitumba kisa make-up. Ukiingia chobingo ndio unagundua kumbe si Mali kitu. Wakati huo keshakula chips, kuku choma, saint Anne(akiwa kwao anakunywa Serengeti lite), voucher, Ubber(lkn kapanda Bajaj)
Wanamwonea tu huyu dada hana madhara yoyote kwa nchi na serikaliYule Mfalme Zumaradi kipindi kile unaweza kusema ni rika ya kina dada umri fulani
View attachment 2219360
View attachment 2219361
View attachment 2219362
I like your sense of humour.shenzi kabsaaaa ..... unasafisha goboreee unasepa mbiooo ukijiambia sirudi tenaa.... baada ya siku kadhaa a .."baby i like your litle panya/mouse" na ndipo safari inakoanzia ya matumizi yasiyo na kikomooo endapo sio tegemezii kwakoo eeee
Nyingine hiiHawa mbona ni watu tofauti. Ndugu mleta mada, umejiridhisha kuwa ndiye Zumaridi wa kwenye picha hapo juu?
Sisi wengine bado tupo nanyi natural creatures! Hivi vi artificial creatures huwa vinanitoa stimu hasa, nikianza na kope bandia, kucha bandia, puti nk. Kiumbe wa hivi huwa siwezi kumtazama mara mbili...... wananichefua balaa!si mnatukimbia sisi natural creatures ngoja mnyooshwe