Jela sio pazuri

Jela sio pazuri

Wenzie huwa wanapenyezewa kule kule rumande...

Anakuwa vile vile... ..pesa !
 
Aiseee..

Akili zitamrudi..
Hakuna askari hatari kama askari magereza, hata ukiwa komando, hata ukiwa Rais ukipelekwa kule ukiitwa jina lako unainama kidogo kisha unajibu 'Naam bwana mkubwa..
Askari wa magereza ni balaa, kuna siku nilikuwa mahakamani mara wakawaleta watuhumiwa kama 10 hivi, moja alikuwa anajaribu kutoroka walipokuwa wanashuka akamdaka, akamleta ndani, pale pale mbele za watu wanaosubiri kesi zao alimzaba makofi ya shingo.
 
Mi sina habari ya Zuma wala nini? Namsaka tu aliyegundua hii puti ya wamama na wadada sikubali kuibiwa hivihivi kirahisi
Naombeni mniunge mkono kuowaokoa hawa watoto wetu wa kiume wa kizazi kijacho.
 
Back
Top Bottom