Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,594
Mkazi wa Ndaleta wilaya ya Kiteto mkoa wa Manyara Jackson Ole Naiko (57) amehukumiwa kifungo cha miaka 150 na faini ya Milioni Tano (5,000,000/=) kwa kosa la kuwabaka watoto wake wa kuwazaa.
Hakimu wa kesi hiyo Mosi Sassy amesema mahakama imezingatia ushahidi wa pande zote mbili na kila kesi ilikua na mashahidi saba.
Hivyo mtuhumiwa ataachiwa 2173 Mungu akipenda.
Hakimu wa kesi hiyo Mosi Sassy amesema mahakama imezingatia ushahidi wa pande zote mbili na kila kesi ilikua na mashahidi saba.
Hivyo mtuhumiwa ataachiwa 2173 Mungu akipenda.