Black BackUp
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 685
- 623
Kuna mistari inasema "Nimwage Wese,Unesenese Kwenye Rungu la komredi kipepepe" Wazee hapa jamaa alilenga maudhui gani?
Nyimbo za siku izi bwana!
Nyimbo za siku izi bwana!
Mimi kwenye hio mistari napenda body language zake kwenye video...ni hatariKuna mistari inasema "Nimwage Wese,Unesenese Kwenye Rungu la komredi kipepepe" Wazee hapa jamaa alilenga maudhui gani?
Nyimbo za siku izi bwana!
😁😁😁🤣🤣🤣....nimecheka Kama chizi aseeeJamaa wanaimba pon live na hawafanywi kitu sahv sanaa ni matusi tupu,ndiyo maana nyimbo zenye ubunifu wa mashairi zinapata shida sokoni
Tuambie kwanza wewe ulielewa niniKuna mistari inasema "Nimwage Wese,Unesenese Kwenye Rungu la komredi kipepepe" Wazee hapa jamaa alilenga maudhui gani?
Nyimbo za siku izi bwana!
Misambwanda ya buku bee inapatikana wap"Salamu ziende kwa wanjera
DonMasha kitasa kwenye bunyero
Mwambie simba kacharara
Anataka msambwanda kwa buku jero"