Habari zenu wana jf? hususan wale wana wa MMU
Kwa kweli swala la kumpata mke mwema si jambo rahisi ila inahitaji umakini na utulivu na kumchagua mtu ambaye atakuwa mke baadae ok sasa niende kwenye topic.
Nilianza mahusiano ya kimapenzi na mdada mmoja hv na nilitarajia kumwoa baadae ila nakumbuka kuna siku wakati tunaongea alinitak mm ni salimiane na Mama yake na dada zake waliokuwep mda huo kweli nlisalimian nao na tumeongea vizuri tu ila kitu ambacho kimenipa mashak kuna day nlimuuliza "HIVI MM NA WW TUPO PAMOJA NA MZEE WAKO ANAJUA YAAN WW UNAWEZA KUONGEA NA MM KIMAHABA MBELE YA MZEE WAKO JEE HUONI KUA NI TATIZO HILO KWA MAISHA YETU YA KITANZANIA??? Alivyonijibu ucjali baby mama mzungu mbona ha mind naweza kuongea na ww mda wwte mbele yake na wala haniambii kitu na ukizingatia huyo bint bado ni mdogo kias ya 20yrs bas nikajua hapa kwa suali la malezi zero!!(hapana)
KARIBUNI
Kwa kweli swala la kumpata mke mwema si jambo rahisi ila inahitaji umakini na utulivu na kumchagua mtu ambaye atakuwa mke baadae ok sasa niende kwenye topic.
Nilianza mahusiano ya kimapenzi na mdada mmoja hv na nilitarajia kumwoa baadae ila nakumbuka kuna siku wakati tunaongea alinitak mm ni salimiane na Mama yake na dada zake waliokuwep mda huo kweli nlisalimian nao na tumeongea vizuri tu ila kitu ambacho kimenipa mashak kuna day nlimuuliza "HIVI MM NA WW TUPO PAMOJA NA MZEE WAKO ANAJUA YAAN WW UNAWEZA KUONGEA NA MM KIMAHABA MBELE YA MZEE WAKO JEE HUONI KUA NI TATIZO HILO KWA MAISHA YETU YA KITANZANIA??? Alivyonijibu ucjali baby mama mzungu mbona ha mind naweza kuongea na ww mda wwte mbele yake na wala haniambii kitu na ukizingatia huyo bint bado ni mdogo kias ya 20yrs bas nikajua hapa kwa suali la malezi zero!!(hapana)
KARIBUNI