Jee ana kesi ya kujibu?

mgen

JF-Expert Member
Nov 18, 2010
22,631
8,417
A yupo kituo cha basi akisubiri kupata usafiri.
ikatokea ajali ya gari karibu na yeye!
B alikuwa msafiri ktk gari iliyopata ajali.
Kwenye ile ajali mkono wa B ukakatika na kumrukia A, na kumuua pale pale!
Jee B Akipona matibabu ana kesi ya kujibu?
Wanasheria nisaidieni.
 
Mkuu this is an extraordinary illustration I have ever seen in my readings!
Kuna mambo mawili hapa, la kwanza, ni suala la usalama barabarani na la pili, kifo cha mtu. Illustration haikueleza kuwa B alikuwa anaendesha hiyo gari bali alikuwa msafiri wa hiyo gari, hivyo, kama haitodaiwa vinginevyo basi B hawezi kushtakiwa kwa kosa la usalama barabarani, isipokuwa dereva wa gari hiyo.

La pili, kwa kuwa B ni victim wa hiyo ajali na kiungo chake kimekatika na kumuathiri mtu mwengine hawezi kushitakiwa kwa kosa la kusababisha kifo cha mtu,definately mashitaka hayo yanakuja kwa dereva (kwa kuwa B siyo dereva kama ilivyosemwa hapo juu) atakayejibu shitika la kusababisha kifo na madhara mengine kwa shitaka la mwanzo, pamoja na ulemavu wa B.
My opinion, I could be wrong too!
 
Ni issue ya kutumia logic na kupata jawabu!
a yupo kituo cha basi akisubiri kupata usafiri.
Ikatokea ajali ya gari karibu na yeye!
B alikuwa msafiri ktk gari iliyopata ajali.
Kwenye ile ajali mkono wa b ukakatika na kumrukia a, na kumuua pale pale!
Jee b akipona matibabu ana kesi ya kujibu?
Wanasheria nisaidieni.
 
Hii scenerio cjapata ona.

Kama marehemu A alikuwa ndani ya sehemu ya barabara ana contributory negligency na kama B alikuwa msafiri kwenye hiyo gari basi dereva atashtakiwa kwa reckless driving na kusababisha kifo.
 
Mkuu this is an extraordinary illustration I have ever seen in my readings!
Kuna mambo mawili hapa, la kwanza, ni suala la usalama barabarani na la pili, kifo cha mtu. Illustration haikueleza kuwa B alikuwa anaendesha hiyo gari bali alikuwa msafiri wa hiyo gari, hivyo, kama haitodaiwa vinginevyo basi B hawezi kushtakiwa kwa kosa la usalama barabarani, isipokuwa dereva wa gari hiyo.

La pili, kwa kuwa B ni victim wa hiyo ajali na kiungo chake kimekatika na kumuathiri mtu mwengine hawezi kushitakiwa kwa kosa la kusababisha kifo cha mtu,definately mashitaka hayo yanakuja kwa dereva (kwa kuwa B siyo dereva kama ilivyosemwa hapo juu) atakayejibu shitika la kusababisha kifo na madhara mengine kwa shitaka la mwanzo, pamoja na ulemavu wa B.
My opinion, I could be wrong too!

Asante mkuu nimeinote.
 
A yupo kituo cha basi akisubiri kupata usafiri.
ikatokea ajali ya gari karibu na yeye!
B alikuwa msafiri ktk gari iliyopata ajali.
Kwenye ile ajali mkono wa B ukakatika na kumrukia A, na kumuua pale pale!
Jee B Akipona matibabu ana kesi ya kujibu?
Wanasheria nisaidieni.

Sidhani kama B atakuwa na kesi ya kujibu hapo. Sidhani kama alikuwa na nia ya kumwua A.
 
A yupo kituo cha basi akisubiri kupata usafiri.
ikatokea ajali ya gari karibu na yeye!
B alikuwa msafiri ktk gari iliyopata ajali.
Kwenye ile ajali mkono wa B ukakatika na kumrukia A, na kumuua pale pale!
Jee B Akipona matibabu ana kesi ya kujibu?
Wanasheria nisaidieni.

Nadhani swali lako limejikita kwenye issue moja je B ndiye aliyeua?

Ili kujibu swali hilo inabidi kwanza kuwe na hati ya uchunguzi wa marehemu A, hiyo hati itaeleza sababu ya kifo chake, kama hakuna hati ya kifo basi kesi yoyote ya mauaji haiwezi kusimama.
 
Back
Top Bottom