Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,760
Suali ni moja tu, Je ulipokea fomu ya malalamiko kutoka CCM?
Taarifa zilizopo ni kuwa hakuna malalamiko na wabunge na wawakilishi walipewa hati za kuthibisha kama wao ni washindi halali.
Kama ushindi wa CCM ni halali basi wa CUF nao hauna doa Magufuli ameshinda Seif ameshinda Uchaguzi uliotumika kwa ushindi ni mmoja siku moja
Taarifa zilizopo ni kuwa hakuna malalamiko na wabunge na wawakilishi walipewa hati za kuthibisha kama wao ni washindi halali.
Kama ushindi wa CCM ni halali basi wa CUF nao hauna doa Magufuli ameshinda Seif ameshinda Uchaguzi uliotumika kwa ushindi ni mmoja siku moja