Tanganyika ichangie nini na tumeambiwa haipo.
Tanganyika ipo hata ile Hati kule UN imeandikwa jina la Tanganyika japo sasa inaitwa BARA lakini ndio Baba wa muungano Pesa yote inatoka Tanganyika a.k.a Bara , Zanzibar walikwisha kataa kitambo na sasa wamevunja katiba wao ni Nchi Hakuna wa kuwalazimisha Kutoa pesa.